Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Atakaye kuoa wewe atakuwa ameoa hiyo rangi ya kidoleni mwako.Maana haimalizi wiki hiyo au atakuwa ameioa hiyo chupa ya grants,nayo ikiisha tyu haina shughuri labda upimie mafuta ya nazi.
 
Atakaye kuoa wewe atakuwa ameoa hiyo rangi ya kidoleni mwako.Maana haimalizi wiki hiyo au atakuwa ameioa hiyo chupa ya grants,nayo ikiisha tyu haina shughuri labda upimie mafuta ya nazi.
Asante kwa ushauri
 
teh nimekuwa zwazwa !nhale mhola sana gete
Ahenaho lulu twabhi shihamo, endelea kumimina tu hiyo simainofu taratibu, iko mzuka sana, kuna ile simainofu iko kama soda, kachupa kembamba karefu, unamiksia na simainofu yenyewe sasa ya kwenye chupa kama valuu, tamu kinoma yani, unajikuta uko tungi bila kujua!
 
Mara ya mwisho mtu wa mwisho kumsikia ana relate hivi ni WALTER O'BRIEN safi mkuu ww ni GENIUS
 


Niko hapa naisubiria saa sita taraatibu huku naangalia BET Awards
Pamoja na kwamba umeweka maji kwenye hiyo chupa,bado chupa imekuzidi mng'ao.mguu kama paja la beberu na mkono kama mkia wa kondoa.kwa kweli umevutiaaa[emoji122][emoji122][emoji122]
 
Pamoja na kwamba umeweka maji kwenye hiyo chupa,bado chupa imekuzidi mng'ao.mguu kama paja la beberu na mkono kama mkia wa kondoa.kwa kweli umevutiaaa[emoji122][emoji122][emoji122]
Niweke maji kwenye chupa inayouzwa elfu 3 jamani? Halafu iweje? Vyuma havijakaza kwa wote mkuu pambana na hali yako kama hata kununua Heineken unaona big deal.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…