Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

7d3caecae3859739a7a6a01e0b2d743d.jpg
 
Mrahisi sana wewe, wahuni washakula sanaa, na taarifa zimekuja UPOOO!!!
Hahahaaaa!! Karibu tupulize mama.
Na nitawaanika nasubiria mods wanipe ruhusa niwaanike ili mkione cha moto kwa mabwana zenu
 
View attachment 664599 acha nilewe tu siko poa kabisa leo,,nakunywa mpaka nizime hata siku mbili,,leo hakuna kulala nakunywa tu
Pia pole kwa kipenzi changu unaeumwa najua soon utapona utakuwa sawa ... Unajua venye navyokupenda
Ngoja niendeleee ,,kama yeyote unakunywa piga picha kinywaji unachokunywa rusha hapa
Walokole sijui wafia dini sio uzi wenu huu muende jukwaa la dini,,watoa ushauri peleken maombi kwa mods mtoe ushauri,,
Tuendeleeeeee


Aisee...utafanya watu wabake hiyo picha!
 
Mrahisi sana wewe, wahuni washakula sanaa, na taarifa zimekuja UPOOO!!!
Hahahaaaa!! Karibu tupulize mama.
Na ninawaonya mnanifata pm kunitongoza halag hapa majifanya fanyaa nitwaumbuaa mimi ndio Dina
 
Mrahisi sana wewe, wahuni washakula sanaa, na taarifa zimekuja UPOOO!!!
Hahahaaaa!! Karibu tupulize mama.


teh teh !mlikua mnanishikia miguu nyie !sikujui hata sura lako ptu!lol !pole zao kwakweli! haya mama mie leo najimiminia ! sitak bangi zako!ukimuona demi mpe hi !
 
Natamani ningekuwa nakunywa

Manake leo nimeligwa ambush ya kufa mtu

Najipigia muziki kama chizi

**** mapenzi
duh !tafuta kawine katamu tamu mbona raha tu !
bdw hakuna raha kama kupewa hyo raha wajameni !watu pipooooooooooooooooooooooooooooooooo
 
Back
Top Bottom