Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Tunaolewa leo tukutane hapa HAPPY NEW YEAR

Muwe mnaona aibu kuonyesha viungo vyenu hadharani..mtu mwenyew tukunyema..rubbish kabisa
Mguu huujui au genye? Sa nikiwa tukunyema nakunyima pumzi au shobo shoga angu? Kama we bwana ako anapenda wembamba ni bwana ako mie wangu ananipendea hizi nyama maana ndo wowowo analiona vizuri upo nyonyo? Halafu kisichokusugua kisikutie genye sawa eeeh?
 
Spirits zotw sigusi. Mie ni Heineken Wine ila dry Glenfidich JD Balantines na Jameson zaidi ya hapo sigusi. Jana nilijaribu Savana nusu nirudishe chenchi


ahaha wine dry weka kando na mie !anyways nazo safi !niliwah gusa ballantines ! hahaha sina hamu nayo badala ya kujirusha majini nikarusha simu hhehe! lol
 
Huwez kuwa na sura ama umbo la kuvutia ukanywa grants kisha ukamix na heineken.lazima utakuwa na stress za kutosha.tukiwaambia msikubali kuwa michepuko hamtak.ona sasa uko na stress ya jamaa na leo jamaa anajiandaa na new year.yuko na familia yake.kalagha bhaoooo
Nani kamix grants na Heineken? Au umekua kipofu na wewe? Huoni tu wawili wawili tunaokunywa vitu tofauti? Acha ushamba.
 
Mguu huujui au genye? Sa nikiwa tukunyema nakunyima pumzi au shobo shoga angu? Kama we bwana ako anapenda wembamba ni bwana ako mie wangu ananipendea hizi nyama maana ndo wowowo analiona vizuri upo nyonyo? Halafu kisichokusugua kisikutie genye sawa eeeh?

haahhahahaha mbavu zangu mie !dah @!shogako umempa makavu mno dah
 
Mguu huujui au genye? Sa nikiwa tukunyema nakunyima pumzi au shobo shoga angu? Kama we bwana ako anapenda wembamba ni bwana ako mie wangu ananipendea hizi nyama maana ndo wowowo analiona vizuri upo nyonyo? Halafu kisichokusugua kisikutie genye sawa eeeh?
Achana nao hao wana njaa ndio maana wanatokwa povu ,,we huoni uzi mzima wanatokwa mapovu wao tu
Acha kuwaquote
 
77800777ccf82d9e087569d8ccee15ad.jpg
 
Back
Top Bottom