luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,346
- 6,928
- Thread starter
- #21
Ww shabiki kitumbuaKwa nini nusiombe jina la kiongozi aliyeshawishi usajili wa Baleke? Mashabiki maandazi bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww shabiki kitumbuaKwa nini nusiombe jina la kiongozi aliyeshawishi usajili wa Baleke? Mashabiki maandazi bhana
Aisee!
Usajili Ni betting unaweza pata au kosa.... aliyemleta Sawadogo huenda ndo aliyemleta BALEKE pia. Na mchezaji anaweza KUWA ovyo timu moja aka shine timu nyingine na vice versa siamini Sawadogo alikuwa mbovu Hadi kucheza League ya morroco (Batola). Mchezaji ku underperform Ni factor nyingi huenda kwanza hata kiafya hakuwa sawa tulaumu pia Kama vipimo vilifanyika... anyway vipi Aziz Ki wa Asec ndo yule wa pale kwa wananchi! Over.Huyu Mchezaji sijawai ona tangia amejiunga na Simba Sc hakuna Mechi hata Moja aliyo perform kwa kiwango cha kuthibitisha kwamba huyu ni international professional player.
Ni kheri sasa huyu kiongozi aliye pendekeza usajili wa huyu mchezqji qjitokeze walau atuambie ni kipi yy kilimshawishi
Kama ana under perform sasa ni wakumtoa tu akatafute timu nyingineUsajili Ni betting unaweza pata au kosa.... aliyemleta Sawadogo huenda ndo aliyemleta BALEKE pia. Na mchezaji anaweza KUWA ovyo timu moja aka shine timu nyingine na vice versa siamini Sawadogo alikuwa mbovu Hadi kucheza League ya morroco (Batola). Mchezaji ku underperform Ni factor nyingi huenda kwanza hata kiafya hakuwa sawa tulaumu pia Kama vipimo vilifanyika... anyway vipi Aziz Ki wa Asec ndo yule wa pale kwa wananchi! Over.
Alikuwa sio chaguo la kocha. Ni kama Kocha Zolan alivyoamua kuwaacha Onyango, Phili na Chama. Kwamba hawafit kwanye mipango yake.Kwanini TP Mazembe walimuachia Jamaa?
Dewji si alilalamika majuzi hapa anapigwa kwenye usajili na kuna watu wanafanya makusudi ili afeliHuyu Mchezaji sijawai ona tangia amejiunga na Simba Sc hakuna Mechi hata Moja aliyo perform kwa kiwango cha kuthibitisha kwamba huyu ni international professional player.
Ni kheri sasa huyu kiongozi aliye pendekeza usajili wa huyu mchezqji qjitokeze walau atuambie ni kipi yy kilimshawishi