Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Habarini,
Ninaomba yeyote aliye karibu na Mhe. Rais amfikishie ombi langu mbele yake nalo ni kufanya uteuzi wa nafasi zilizo wazi kwa muda mrefu hususani za utendaji kama wakurugenzi
Uteuzi wa nafasi hizo utasaidia utendaji mzuri na kuacha kufanya kazi kwa kujionyesha. Kukaa muda mrefu bila kuteua kunasabisha mambo kushindwa kufanyika kutokana na hofu yakutoteuliwa.
Tunaomba Rais ufanye uteuzi ili kuleta tija katika uwajibikaji na usimamizi wa nafasi hizo hususani kwa Mali za umma.
Pia, kukaa muda mrefu kunafanya ongezeko la kuoneana kujicho na kurogana na kupakana matope.
Naomba kuwasilisha
Ninaomba yeyote aliye karibu na Mhe. Rais amfikishie ombi langu mbele yake nalo ni kufanya uteuzi wa nafasi zilizo wazi kwa muda mrefu hususani za utendaji kama wakurugenzi
Uteuzi wa nafasi hizo utasaidia utendaji mzuri na kuacha kufanya kazi kwa kujionyesha. Kukaa muda mrefu bila kuteua kunasabisha mambo kushindwa kufanyika kutokana na hofu yakutoteuliwa.
Tunaomba Rais ufanye uteuzi ili kuleta tija katika uwajibikaji na usimamizi wa nafasi hizo hususani kwa Mali za umma.
Pia, kukaa muda mrefu kunafanya ongezeko la kuoneana kujicho na kurogana na kupakana matope.
Naomba kuwasilisha