Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Shooter Again

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2022
Posts
5,603
Reaction score
9,263
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu
Ewe kijana wa yanga mbona una wivu kama nyegere.
 
Kwani ilo jengo na lenyewe lina ghorofa ngapi mkuu
Mbona kama unaongelea nyumba za uku kwetu mitaa ya dauseni!?
 
Wivu, figisu au siasa za kimichezo zinaweza kuwa zinahusika
 
Wivu, figisu au siasa za kimichezo zinaweza kuwa zinahusika
Kwani lile jengo likianguka likauwa watu watakufa wana Yanga pekee
Kama jengo ni chakavu likarabatiwe
Hakuna kisichozeeka
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Leo nimesoma kwenye yutube kuhusu misukule ya gorofa lilodondoka hivi karibuni huko kariakoo je humo hakuna?, hahahaa! Tunapo pata changamoto ni kama fundisho kwa Jamii
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Majengo yote ya chini ya ghorofa 20 ni imara na salama kariakoo,
hasa yaliyojengwa miaka ya 1940s.

hakuna haja ya kuzusha na kuzua hofu kwa wananchi 🐒
 
Back
Top Bottom