Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Ndio sababu nimelishuhudia Kwa ukaribuKati ya majengo yote ya Dar na ya Tz umeona Hilo tu ndio limezeeka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio sababu nimelishuhudia Kwa ukaribuKati ya majengo yote ya Dar na ya Tz umeona Hilo tu ndio limezeeka?
Takwimu zako za miaka, (1940), ni fikirishi zina tishia jengo la simbaMajengo yote ya chini ya ghorofa 20 ni imara na salama kariakoo,
hasa yaliyojengwa miaka ya 1940s.
hakuna haja ya kuzusha na kuzua hofu kwa wananchi 🐒
Huyu hata nyegere anasubiri,mwiko unamuwasha huko nyuma anataka uchomolewe,🤣🤣🤣🤣🤣Ewe kijana wa yanga mbona una wivu kama nyegere.
Hahahahaha.Huyu hata nyegere anasubiri,mwiko unamuwasha huko nyuma anataka uchomolewe,🤣🤣🤣🤣🤣
hilo ni miongoni mwa majengo salama na imara mno kariakoo gentleman 🐒Takwimu zako za miaka, (1940), ni fikirishi zina tishia jengo la simba
Sijaenda dar muda sikuhizi tunatumia mfumo wa kidijitalihilo ni miongoni mwa majengo salama na imara mno kariakoo gentleman 🐒
For your information,Acha uongo wewe unakaa porini huko hujui lolote sio Kila kitu ulete uchawa
Sijaenda dar muda sikuhizi tunatumia mfumo wa kidijitali
The world is at our finger tips
Sijaenda dar muda sikuhizi tunatumia mfumo wa kidijitali
The world is at our finger tips
Kwa kutumia Google map hahahaa, majengo yenyewe hayanihusurukha kutumia hadi finger print kupima uimara na usalama wa majengo kariakoo gentleman 🐒
Wanajua wanacchokifanya kuna msaliti wao humo wanasubiri limfanye kitu mbayaHili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Narudia tena huna unalolijua kuusu hayo majengo tuache sisi wazawa ndio tunajua wewe Kaa huko poriniFor your information,
hakuna jengo lisilo salama Kariakoo, unless tena muanze ujenzi wa chini ya ghorofa lililokamilika na linalotumika tayari.
hiyo tamaa ni hatari zaid.🐒
sasa wazawa, mbona mnachekesha sana,Narudia tena huna unalolijua kuusu hayo majengo tuache sisi wazawa ndio tunajua wewe Kaa huko porini
Wasije wenyewe wakakuita yanga tu.Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
We hujui kitu hasira za nini uko porini unataka kuvijua vitu vya kwetu hapa town mzee endelea na uchawa wako huko porini na hapa jamii forum vya mjini huvijuisasa wazawa, mbona mnachekesha sana,
yaani jengo linajengwa, linakamilika, linatumika halafu ndio mnaleta ng'we ng'we zenu baadae?
huo si ushirikina na imani potofu wazawa?🐒
hasira hasara gentleman,We hujui kitu hasira za nini uko porini unataka kuvijua vitu vya kwetu hapa town mzee endelea na uchawa wako huko porini na hapa jamii forum vya mjini huvijui