Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Majengo yote ya chini ya ghorofa 20 ni imara na salama kariakoo,
hasa yaliyojengwa miaka ya 1940s.

hakuna haja ya kuzusha na kuzua hofu kwa wananchi 🐒
Takwimu zako za miaka, (1940), ni fikirishi zina tishia jengo la simba
 
Ujenzi wa jengo la simba ni sawa na ujenzi wa jengo la mwiko nyuma yote yalijengwa kwa design moja na mafadhilu mmoja mmalawi mzee karume r.i.p
 
Acha uongo wewe unakaa porini huko hujui lolote sio Kila kitu ulete uchawa
For your information,
hakuna jengo lisilo salama Kariakoo, unless tena muanze ujenzi wa chini ya ghorofa lililokamilika na linalotumika tayari.

hiyo tamaa ni hatari zaid.🐒
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Wanajua wanacchokifanya kuna msaliti wao humo wanasubiri limfanye kitu mbaya
 
For your information,
hakuna jengo lisilo salama Kariakoo, unless tena muanze ujenzi wa chini ya ghorofa lililokamilika na linalotumika tayari.

hiyo tamaa ni hatari zaid.🐒
Narudia tena huna unalolijua kuusu hayo majengo tuache sisi wazawa ndio tunajua wewe Kaa huko porini
 
Narudia tena huna unalolijua kuusu hayo majengo tuache sisi wazawa ndio tunajua wewe Kaa huko porini
sasa wazawa, mbona mnachekesha sana,
yaani jengo linajengwa, linakamilika, linatumika halafu ndio mnaleta ng'we ng'we zenu baadae?

huo si ushirikina na imani potofu wazawa?🐒
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Wasije wenyewe wakakuita yanga tu.
 
sasa wazawa, mbona mnachekesha sana,
yaani jengo linajengwa, linakamilika, linatumika halafu ndio mnaleta ng'we ng'we zenu baadae?

huo si ushirikina na imani potofu wazawa?🐒
We hujui kitu hasira za nini uko porini unataka kuvijua vitu vya kwetu hapa town mzee endelea na uchawa wako huko porini na hapa jamii forum vya mjini huvijui
 
We hujui kitu hasira za nini uko porini unataka kuvijua vitu vya kwetu hapa town mzee endelea na uchawa wako huko porini na hapa jamii forum vya mjini huvijui
hasira hasara gentleman,
huwezi kushindana na ukuta wa zege gentleman..

kwenu si mlishafukuzwa kuishi pembezoni mwa mto msibazi na mkahamia hapo kigogo? kuna magorofa ya kutoka wap sasa hapo gentleman, kama sio kimbelembele tu?🤣

vpi saivi joto na jua bado vinawahenyesha sanaee 🐒
 
Back
Top Bottom