Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Tunaomba serikali iliangalie jengo la Simba hapo msimbazi

Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Yaani utopolo bwana, nyie mnaona like jengo lenu la mianzi ni imara kuliko.jengo la Simba?
Kweli huko wenye akili wawili tuu.
 
hasira hasara gentleman,
huwezi kushindana na ukuta wa zege gentleman..

kwenu si mlishafukuzwa kuishi pembezoni mwa mto msibazi na mkahamia hapo kigogo? kuna magorofa ya kutoka wap sasa hapo gentleman, kama sio kimbelembele tu?🤣

vpi saivi joto na jua bado vinawahenyesha sanaee 🐒
Nilichozungumzia nadhani ukijui ila umekurupuka Ili uonekane na wewe umechangia vitu vingine acha vikupite kama hujui nahisi haupo sawa kichwani siku njema sikujibu tena
 
Nilichozungumzia nadhani ukijui ila umekurupuka Ili uonekane na wewe umechangia vitu vingine acha vikupite kama hujui nahisi haupo sawa kichwani siku njema sikujibu tena
Relax bas gentleman,
stop exposing your mayhem kwa wadau with pointless arguments 🐒
 
Mtu yupo Ibologero Igunga huko analima vitunguu, halafu anakuja humu anachambua jengo la Simba
 
Hujambo mwanangu? Hoja yako nimeiona, nitawatuma vijana wangu waje kulibomoa kwa usalama zaidi wa raia.
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Serikali ianze na jengo hatarishi lililopo kwenye mkondo wa Maji, linahatarisha maisha ya Wananchi ambao ni wafuasi wao na wapita njia
 
Kama ni lile jengo la pili kweli halifai,lile jengo lilitakiwa liwe la ghorofa 8 lakini imeshindikana kuliendeleza kwa sababu kwa pale tu lilipofikia lina nyufa kibao hivyo linahitaji kubomolewa lianze kujengwa upya na inasemekana ufisadi ule ulifanywa na Kassim Dewji wakati akiwa Katibu mkuu wa Klabu na nafikiri suala hilo nalo lilikuwa moja ya sababu za ugomvi wao yeye na kundi lake kwa upande mmoja dhidi ya Mwenyekiti Juma Salum na kundi lake kwa upande mwingine.
 
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.

Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
JENGO LIMEJENGWA NA FUNDI MAIKO
 
Back
Top Bottom