Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Yaani utopolo bwana, nyie mnaona like jengo lenu la mianzi ni imara kuliko.jengo la Simba?Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Nilichozungumzia nadhani ukijui ila umekurupuka Ili uonekane na wewe umechangia vitu vingine acha vikupite kama hujui nahisi haupo sawa kichwani siku njema sikujibu tenahasira hasara gentleman,
huwezi kushindana na ukuta wa zege gentleman..
kwenu si mlishafukuzwa kuishi pembezoni mwa mto msibazi na mkahamia hapo kigogo? kuna magorofa ya kutoka wap sasa hapo gentleman, kama sio kimbelembele tu?🤣
vpi saivi joto na jua bado vinawahenyesha sanaee 🐒
Utopolo ndio nini sielewi unachoongeaYaani utopolo bwana, nyie mnaona like jengo lenu la mianzi ni imara kuliko.jengo la Simba?
Kweli huko wenye akili wawili tuu.
Relax bas gentleman,Nilichozungumzia nadhani ukijui ila umekurupuka Ili uonekane na wewe umechangia vitu vingine acha vikupite kama hujui nahisi haupo sawa kichwani siku njema sikujibu tena
We mshamba huwezi jua tunachoongelea endelea kukaa huko porini ukilima viaziMtu yupo Ibologero Igunga huko analima vitunguu, halafu anakuja humu anachambua jengo la Simba
Serikali ianze na jengo hatarishi lililopo kwenye mkondo wa Maji, linahatarisha maisha ya Wananchi ambao ni wafuasi wao na wapita njiaHili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
Umeliona wapi Hilo jengoSerikali ianze na jengo hatarishi lililopo kwenye mkondo wa Maji, linahatarisha maisha ya Wananchi ambao ni wafuasi wao na wapita njia
Na mimi kweli nipo porini ila sio bogus kama weweWe mshamba huwezi jua tunachoongelea endelea kukaa huko porini ukilima viazi
Ukiwa porini tayari wewe ni bogus sababu unafanaa na nyani ndio makazi Yao poriniNa mimi kweli nipo porini ila sio bogus kama wewe
Majengo yote ya chini ya ghorofa 20 ni imara na salama kariakoo,
hasa yaliyojengwa miaka ya 1940s.
hakuna haja ya kuzusha na kuzua hofu kwa wananchi 🐒
Bora mimi nipo pori na nafanana na nyani, wewe upo mjini ila wamekufira matokeo yake unakuja humu kuharisha linda hakunaUkiwa porini tayari wewe ni bogus sababu unafanaa na nyani ndio makazi Yao porini
Tukana tusi jipya hayo wametunga wenzio we unaiga tu🤣🤣🤣🤣Bora mimi nipo pori na nafanana na nyani, wewe upo mjini ila wamekufira matokeo yake unakuja humu kuharisha linda hakuna
Kwa hiyo wewe unakaa kwenye hilo jengo la simba?Acha uongo wewe unakaa porini huko hujui lolote sio Kila kitu ulete uchawa
NdioKwa hiyo wewe unakaa kwenye hilo jengo la simba?
JENGO LIMEJENGWA NA FUNDI MAIKOHili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.