CrapAcha lianguke. Nani anajali
Hivi tulivyo kama taifa,Uafrika ni laana,Mungu wabariki wazungu.
Serikali imeshaunda tume ya kupitia majengo yote ya Kariakoo.Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu.
NdioSerikali imeshaunda tume ya kupitia majengo yote ya Kariakoo.
. Umelala?
Si uhame kama limechoka! Kwani lazima uendelee kuishi humo?Ndio
Ndio ni lazima na Sihami mpaka libomoleweSi uhame kama limechoka! Kwani lazima uendelee kuishi humo?
Ndio ni lazima na Sihami mpaka libomolewe
Ndio lazimaKwa nini ni lazima?
Hili jengo limechoka sana na nashangaa serikali imekaa kimya kwasababu tumetoka kupata majanga wiki iliyopita nilitegemea Ili jengo lingebomolewa maana limechoka.
Ndugu zangu siku ya Leo nikiwa katika pita pita zangu nimelishuhudia likidondosha mchanga na Lina nyufa kwenye baadhi ya Kuta naomba sana serikali iweze kuifanyia kazi hii thread yangu Ili kuepusha vifo vya watanzania wenzetu
Umbea tuNaileta
Kwa mfano wasipolibomoa utafanyeje?Ndio lazima