Tunaomba taarifa rasmi kama Wananchi wa Kunduchi tunatakiwa kupisha mradi wa Mwendokasi

Tunaomba taarifa rasmi kama Wananchi wa Kunduchi tunatakiwa kupisha mradi wa Mwendokasi

Mama Sinono

Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
7
Reaction score
2
Dear Serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa Serikali wa mwendokasi.

Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo wamekuja (property valuation). Nawauliza wanasema watu wote walishapewa taarifa wiki tatu kabla. Kitu ambacho si kweli.

Hakuna uwazi kabisa na taarifa zinatolewa kimafungu. Waliwaita baadhi ya watu sio wananchi wote na wanaconclude kwamba wananchi wote tumeridhia kitu ambacho si kweli. Tunaomba Serikali itoe taarifa rasmi na wote tushirikishwe kwa pamoja sio divide na rules approach walitumia.

Ombi letu kama huo mradi upo tunaomba uwazi ,tupewe barua rasmi ya wito wa kikao, taratibu zifuatwe na kuwepo na uwazi. Pia tunaomba viongozi wa Serikali (Waziri husika, Mbunge, Mkuu wa Mkoa, DART, Mkuu wa Wilaya wajitokeze ili tuone uhalisia wa huo mradi.

Please tuaomba utusaidie wananchi wako. Tunaona hakuna haki kwenye hili. Yaani ni tetesi kila mtu anasema lake.

Tunaomba sana Serikali iweke wazi. Na ni eneo lipi haswa. Maana inaenekana wameongeza na eneo tofauti na proposed eneo husika(tetesi.). Eneo wanalohitaji ni kubwa.

Tunaomba ufike uongee na wananchi wote tujue mradi unaukubwa wa eneo gani. Ni wapi unaanzia na kuishia. Maana taarifa zinachanganya sana. Pia tunaomba Ikiwezekana zoezi la kuthaminisha maeneo wasitishe kwanza.

Wananchi tuitwe wote kwa pamoja kwa utaratibu rasmi. Samahani kwa kutumia hii platform tumekosa msaada.
 
Dear serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa serikali wa mwendokasi.

Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo wamekuja (property valuation). Nawauliza wanasema watu wote walishapewa taarifa wiki tatu kabla. Kitu ambacho si kweli.

Hakuna uwazi kabisa na taarifa zinatolewa kimafungu. Waliwaita baadhi ya watu sio wananchi wote na wanaconclude kwamba wananchi wote tumeridhia kitu ambacho si kweli. Tunaomba serikali itoe taarifa rasmi na wote tushirikishwe kwa pamoja sio divide na rules approach walitumia.

Ombi letu kama huo mradi upo tunaomba uwazi ,tupewe barua rasmi ya wito wa kikao, taratibu zifuatwe na kuwepo na uwazi. Pia tunaomba viongozi wa serikali (waziri husika, mbunge, mkuu wa mkoa, Dart, mkuu wa wilaya wajitokeze ili tuone uhalisia wa huo mradi. Please tuaomba utusaidie wananchi wako. Tunaona hakuna haki kwenye hili. Yaani ni tetesi kila mtu anasema lake.

Tunaomba sana serikali iweke wazi. Na ni eneo lipi haswa. Maana inaenekana wameongeza na eneo tofauti na proposed eneo husika(tetesi.). Eneo wanalohitaji ni kubwa. Tunaomba ufike uongee na wananchi wote tujue mradi unaukubwa wa eneo gani. Ni wapi unaanzia na kuishia. Maana taarifa zinachanganya sana. Pia tunaomba Ikiwezekana zoezi la tuthaminisha maeneo wasitishe kwanza.

Wananchi tuitwe wote kwa pamoja kwa utaratibu rasmi. Samahani kwa kutumia hii platform tumekosa msaada.
Usicomplecate maisha, Ardhi ni Mali ya serikali wewe ni mpangaji tu ndio maana unalipa kodi ya Ardhi kwa serikali.

Serikali ikiwa na mradi wake sehemu yoyote inachukuwa Ardhi yake ila uthamini wa haki ni lazima ufanyike.

Mnachopaswa kufanya ni kuhakikisha valuation inafanywa ya kweli, hakuna cha wewe cha kupatana na serikali zaidi ya kufanyiwa uthamini, kulipwa na sometimes mnapewa na viwanja sehemu nyingine na kupewa notice ya kuhama.

Usiingize Siasa hapo.
 
Dear serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa serikali wa mwendokasi.

Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo wamekuja (property valuation). Nawauliza wanasema watu wote walishapewa taarifa wiki tatu kabla. Kitu ambacho si kweli.

Hakuna uwazi kabisa na taarifa zinatolewa kimafungu. Waliwaita baadhi ya watu sio wananchi wote na wanaconclude kwamba wananchi wote tumeridhia kitu ambacho si kweli. Tunaomba serikali itoe taarifa rasmi na wote tushirikishwe kwa pamoja sio divide na rules approach walitumia.

Ombi letu kama huo mradi upo tunaomba uwazi ,tupewe barua rasmi ya wito wa kikao, taratibu zifuatwe na kuwepo na uwazi. Pia tunaomba viongozi wa serikali (waziri husika, mbunge, mkuu wa mkoa, Dart, mkuu wa wilaya wajitokeze ili tuone uhalisia wa huo mradi. Please tuaomba utusaidie wananchi wako. Tunaona hakuna haki kwenye hili. Yaani ni tetesi kila mtu anasema lake.

Tunaomba sana serikali iweke wazi. Na ni eneo lipi haswa. Maana inaenekana wameongeza na eneo tofauti na proposed eneo husika(tetesi.). Eneo wanalohitaji ni kubwa. Tunaomba ufike uongee na wananchi wote tujue mradi unaukubwa wa eneo gani. Ni wapi unaanzia na kuishia. Maana taarifa zinachanganya sana. Pia tunaomba Ikiwezekana zoezi la tuthaminisha maeneo wasitishe kwanza.

Wananchi tuitwe wote kwa pamoja kwa utaratibu rasmi. Samahani kwa kutumia hii platform tumekosa msaada.
Mwendokasi unaenda bagamoyo?
 
Hiyo mwendokasi inayopitia kunduchi inaelekea wapi na inatokea wapi?
 
Dear serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa serikali wa mwendokasi.

Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo wamekuja (property valuation). Nawauliza wanasema watu wote walishapewa taarifa wiki tatu kabla. Kitu ambacho si kweli.

Hakuna uwazi kabisa na taarifa zinatolewa kimafungu. Waliwaita baadhi ya watu sio wananchi wote na wanaconclude kwamba wananchi wote tumeridhia kitu ambacho si kweli. Tunaomba serikali itoe taarifa rasmi na wote tushirikishwe kwa pamoja sio divide na rules approach walitumia.

Ombi letu kama huo mradi upo tunaomba uwazi ,tupewe barua rasmi ya wito wa kikao, taratibu zifuatwe na kuwepo na uwazi. Pia tunaomba viongozi wa serikali (waziri husika, mbunge, mkuu wa mkoa, Dart, mkuu wa wilaya wajitokeze ili tuone uhalisia wa huo mradi. Please tuaomba utusaidie wananchi wako. Tunaona hakuna haki kwenye hili. Yaani ni tetesi kila mtu anasema lake.

Tunaomba sana serikali iweke wazi. Na ni eneo lipi haswa. Maana inaenekana wameongeza na eneo tofauti na proposed eneo husika(tetesi.). Eneo wanalohitaji ni kubwa. Tunaomba ufike uongee na wananchi wote tujue mradi unaukubwa wa eneo gani. Ni wapi unaanzia na kuishia. Maana taarifa zinachanganya sana. Pia tunaomba Ikiwezekana zoezi la tuthaminisha maeneo wasitishe kwanza.

Wananchi tuitwe wote kwa pamoja kwa utaratibu rasmi. Samahani kwa kutumia hii platform tumekosa msaada.
hapo ni kukubali tu kama wanavyotaka wao,ukijifanya machinoo utakosa yote
 
hapo ni kukubali tu kama wanavyotaka wao,ukijifanya machinoo utakosa yote
Naomba uelewe mada. Hatujakataa kuhama sema utaratibu unaotumika ndio hatuyauelewa. Wananchi wengi hawana taarifa. Ndo maana tunahitaji ufafanizi zaidi. Nimekuja kistaarabu sana. Ni huo mradi uwe wazi kwa wanachi wote. Sio anakuja mtu anakwambia tunahitaji eneo lako. Hakuna barua . hakuna mwakilishi wa serikali ndo maana tunaulizia.
 
Usicomplecate maisha, Ardhi ni Mali ya serikali wewe ni mpangaji tu ndio maana unalipa kodi ya Ardhi kwa serikali.

Serikali ikiwa na mradi wake sehemu yoyote inachukuwa Ardhi yake ila uthamini wa haki ni lazima ufanyike.

Mnachopaswa kufanya ni kuhakikisha valuation inafanywa ya kweli, hakuna cha wewe cha kupatana na serikali zaidi ya kufanyiwa uthamini, kulipwa na sometimes mnapewa na viwanja sehemu nyingine na kupewa notice ya kuhama.

Usiingize Siasa hapo.
Naomba uelewe mada hatupingani na serikali. Hata mimi natambua ardhi ni mali ya serikali. Tunachoomba ni kupewa taarifa rasmi. Ninavyoandika hapa kunA watu hata hawajui kAma kuna hichi kitu. UnafuAtwa mtu mmjamoja unaambiA tunaomba tuvyake tathamini ya eneo lako. Navyojua mimi lazima kwanza wananchi wote wa eneo husika waitwe wapewe taarifa rasmi kitu ambacho hakikufanyika. Ndo maana tunaomba tusidie. Na ninaomba usome vizuri sijakaa mradi wewe. Nani anakataa maendeleo tunachohitaji ni uwazi kwa wananchi.
 
Dear serikali, kuna tetesi kuwa wananchi wako wa Kunduchi Mbuyuni wanatakiwa kuondoka kupisha mradi wa serikali wa mwendokasi.

Tatizo wananchi hatujawekwa wazi kuhusu huo mradi. Taarifa zinakuja kienyeji. Mfano mimi jana ndo mjumbe ananipigia simu kunieleza kwamba watu wa kuthaminisha maeneo wamekuja (property valuation). Nawauliza wanasema watu wote walishapewa taarifa wiki tatu kabla. Kitu ambacho si kweli.

Hakuna uwazi kabisa na taarifa zinatolewa kimafungu. Waliwaita baadhi ya watu sio wananchi wote na wanaconclude kwamba wananchi wote tumeridhia kitu ambacho si kweli. Tunaomba serikali itoe taarifa rasmi na wote tushirikishwe kwa pamoja sio divide na rules approach walitumia.

Ombi letu kama huo mradi upo tunaomba uwazi ,tupewe barua rasmi ya wito wa kikao, taratibu zifuatwe na kuwepo na uwazi. Pia tunaomba viongozi wa serikali (waziri husika, mbunge, mkuu wa mkoa, Dart, mkuu wa wilaya wajitokeze ili tuone uhalisia wa huo mradi. Please tuaomba utusaidie wananchi wako. Tunaona hakuna haki kwenye hili. Yaani ni tetesi kila mtu anasema lake.

Tunaomba sana serikali iweke wazi. Na ni eneo lipi haswa. Maana inaenekana wameongeza na eneo tofauti na proposed eneo husika(tetesi.). Eneo wanalohitaji ni kubwa. Tunaomba ufike uongee na wananchi wote tujue mradi unaukubwa wa eneo gani. Ni wapi unaanzia na kuishia. Maana taarifa zinachanganya sana. Pia tunaomba Ikiwezekana zoezi la tuthaminisha maeneo wasitishe kwanza.

Wananchi tuitwe wote kwa pamoja kwa utaratibu rasmi. Samahani kwa kutumia hii platform tumekosa msaada.
pole sana mzee baba
tafuta humu hata tenda imeshatangazwa mkuu
kwasasa ni kujiandaa tu kisaikolojia hakuna namna. nitafurahi sana kama wakifika jiwe gumu kule uswahilini
 
Mama Sinono wala usianze kupaniki kuleta sintofahamu. Laiti kama unasema mjumbe wako amekupigia kukuambia unataka nani mwingine akupe taarifa? Yaani mjumbe wako anakwambia wewe unataka kuambiwa na mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya na waziri kwa pamoja. Kwanini unaanza kuwaza negative hata uthamini wenyewe haujafanyika? Si usubiri uthaminiwe uone umepangiwa kulipwaje ndio ulalamike

By the way, hizi ardhi wala sio zetu mama, ni za serekali wanachukuaga wakiamua tu. Unaposema 'wanadai wananchi wote wameridhia wakati sio kweli' kwani do you think una option ya kukubali au kukataa kupisha mradi?
 
Mama Sinono wala usianze kupaniki kuleta sintofahamu. Laiti kama unasema mjumbe wako amekupigia kukuambia unataka nani mwingine akupe taarifa? Yaani mjumbe wako anakwambia wewe unataka kuambiwa na mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya na waziri kwa pamoja. Kwanini unaanza kuwaza negative hata uthamini wenyewe haujafanyika? Si usubiri uthaminiwe uone umepangiwa kulipwaje ndio ulalamike

By the way, hizi ardhi wala sio zetu mama, ni za serekali wanachukuaga wakiamua tu. Unaposema 'wanadai wananchi wote wameridhia wakati sio kweli' kwani do you think una option ya kukubali au kukataa kupisha mradi?
 
Unajua sisi tupo huku barbaric ya kunduuchi
Mama Sinono wala usianze kupaniki kuleta sintofahamu. Laiti kama unasema mjumbe wako amekupigia kukuambia unataka nani mwingine akupe taarifa? Yaani mjumbe wako anakwambia wewe unataka kuambiwa na mkuu wa mkoa na mkuu wa wilaya na waziri kwa pamoja. Kwanini unaanza kuwaza negative hata uthamini wenyewe haujafanyika? Si usubiri uthaminiwe uone umepangiwa kulipwaje ndio ulalamike

By the way, hizi ardhi wala sio zetu mama, ni za serekali wanachukuaga wakiamua tu. Unaposema 'wanadai wananchi wote wameridhia wakati sio kweli' kwani do you think una option ya kukubali au kukataa kupisha mradi?
 
Naomba uelewe mada. Hatujakataa kuhama sema utaratibu unaotumika ndio hatuyauelewa. Wananchi wengi hawana taarifa. Ndo maana tunahitaji ufafanizi zaidi. Nimekuja kistaarabu sana. Ni huo mradi uwe wazi kwa wanachi wote. Sio anakuja mtu anakwambia tunahitaji eneo lako. Hakuna barua . hakuna mwakilishi wa serikali ndo maana tunaulizia.
Nakuunga mkono hoja yako. Zoezi lifanyike kwa uwazi.
 
Back
Top Bottom