Ni masikitiko makubwa kuona upendeleo wa dhahiri wa ugawaji wa viwanja katika Jiji la Mwanza. Wote tulitangaziwa kuomba viwanja hivyo kwa ada ya Tshs.20,000 kwa kila kiwanja lakini cha kusikitisha waliopata viwanja ni vigogo ambao hata hawakufika kuchukua fomu na kuzijaza.
Hivi ni kweli mtu alitoka Bungeni, Dar(TRA) kuja kuchukua fomu na kuzijaza na kuzirudisha. Nashauri turudishiwe fedha zetu za maombi kutokana na ugwaji kuwa wa upendeleo sana.
Kweli Mhe. Magufuli tutakukumbuka. Upendeleo kama huu usingetokea kama ungekuwa Rais. Tunamwomba Mhe. Rais asitishe ugawaji huu na uanze upya ili taratibu na kanuni zifuatwe.
Hivi ni kweli mtu alitoka Bungeni, Dar(TRA) kuja kuchukua fomu na kuzijaza na kuzirudisha. Nashauri turudishiwe fedha zetu za maombi kutokana na ugwaji kuwa wa upendeleo sana.
Kweli Mhe. Magufuli tutakukumbuka. Upendeleo kama huu usingetokea kama ungekuwa Rais. Tunamwomba Mhe. Rais asitishe ugawaji huu na uanze upya ili taratibu na kanuni zifuatwe.