Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Wengine hatuna dada.Eti na wale mnaopenda kusema wadada siku hizi bei rahisi dada zenu je mtuambie sasa sio kusema tu ooo wanawake wa jf oooh wanawake wa wapii tusimulieni na dada zenu wananunuliwa kwa sh.ngapiView attachment 869435
Wa mama mdogo je?Wengine hatuna dada.
Hahahahaa. Mkuu Dada zako wakiona watakupasua.Wangu wanaliwa bure. Wamejaza wajomba tu nyumbani.
"Ndugu zangu BAN inaumiza sana."
Nimejibu kama ulivyouliza.Wa mama mdogo je?
Wewe hujavutia kwako umeongea vizuriNikisha sema mwanamke hapo sijabagua cha dada wala mama... nafikili hilo ni jibu rahisi.. maana hata dada yangu ni rahisi kwa shemeji yangu
Hawana huo uwezo, wajinga sana dada zangu. Watatu wote wamezalia nyumbani.Hahahahaa. Mkuu Dada zako wakiona watakupasua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wangu wanaliwa bure. Wamejaza wajomba tu nyumbani.
"Ndugu zangu BAN inaumiza sana."
Watu wakiona nimeandika mama wanaweza anza kutoka povu lakini huo ndio ukweli. Na sijamvunjia mama heshima.Wewe hujavutia kwako umeongea vizuri
Ndo maisha lakiniHawana huo uwezo, wajinga sana dada zangu. Watatu wote wamezalia nyumbani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bora kila mtu aseme wa kwao sio kusema dada za wengine tuWangu wanaliwa bure. Wamejaza wajomba tu nyumbani.
"Ndugu zangu BAN inaumiza sana."
Ndio ni dada zako tu unataka kusema huna nduguNimejibu kama ulivyouliza.
Kwa hiyo we husemagi dada za watu maana yashakukuta tayari etii [emoji23][emoji23][emoji23]Hawana huo uwezo, wajinga sana dada zangu. Watatu wote wamezalia nyumbani.
Maana wamekazanaga tu leo watujibu kuhusu dada zaoWewe hujavutia kwako umeongea vizuri
WeweeBabe Soma meseji yangu whatsapp sasa hivi.