Tunaombeni jibu nyie wanaume

Tunaombeni jibu nyie wanaume

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Eti na wale mnaopenda kusema wadada siku hizi bei rahisi dada zenu je mtuambie sasa sio kusema tu ooo wanawake wa jf oooh wanawake wa wapii tusimulieni na dada zenu wananunuliwa kwa sh.ngapi
Screenshot_2018-09-18-07-05-59-1.jpg
 
Mama, dada na mke; binafsi siwezi kuwa-term kama MWANAMKE au niseme, inakwaruza kwaruza sana kumuita mmoja kati yao, "weee mwanamke, nakuomba mara moja!" Ila kwa wengine, wanaitwa tu WANAWAKE.

Sawa, umeamua kukashifu kwa kuwa mara nyingi general term(Mwanamke) inatumika ama kutoa sifa au kudharau/kukashifu
 
Back
Top Bottom