Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A4 nzuri. Spares zipo nyingi na si ghali sana.M sijawahi kumiliki gari ila Mungu akisaidia mwisho wa mwaka ntavuta chuma,na sio mpenz wa toyota katika pitapita zangu nimeona Audi A4 ya 2005 mpaka2006 ndo naweza afford je unaushari gani mkuu?kwa gari ya kwanza?nimeielewa sna
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh unayachukulia poa? Ushawahi kuendesha? Magari mengi ya Ulaya uzuri wake utaujua ukiliendesha.Kumbe aud ni magar mazur, huwa nayachukulia poa ila leo ndo nimefahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh unayachukulia poa? Ushawahi kuendesha? Magari mengi ya Ulaya uzuri wake utaujua ukiliendesha.
Mkuu kuna hizi VW Touran Golf za cc 1600,1400 na 2000. Kwanza kati ya hizo,ipi ni nzuri. Wadau wengu wanasema hayo magari yanasumbua sana. Lakini kipekee nayapenda mwenokano wake pamoja na speed. Je gari hizo spea zipo!? Je hazina changamoto ya kusumbua mifumo ya umeme,engine,gia box? Mafundi wapo na ni wabobezi au ikoje? Zipo kuanzia 2005 na kibongobongo angalau 2010 inakua poa. Naomba info,nitashukuru.Wale wamiliki na wanapoenda kumiliki magari ya Mzungu tukutane hapa Kwa ushauri na kubadilishana mawazo. Najua ni changamoto Sana kumiliki haya magari hapa Tz kuanzia mafundi,spare na uchumi vile vile. Nina uzoefu mkubwa sana kwenye haya magari. Nimetumia BMW,Mercedes,Audi, Volvo na sasa hivi natumia VW Golf Mk5 2.0FSi. Niulize chochote kuhusu magari haya nitakujibu kwa uzoefu wangu. Karibuni tujadiliane. Jitahidi kununua gari isiozidi miaka 10 kwasababu vitu vingi kwenye gari vinachoka baada ya miaka kumi.
Engine nzuri cc2000. Gari ikishazidi miaka 10 ni wazi kuna vitu vinaanza kuchoka inabidi ubadilishe. Shida kubwa gari hizi vitu ni bei kubwa kidogo ila spare zipo na mafundi wapoMkuu kuna hizi VW Touran Golf za cc 1600,1400 na 2000. Kwanza kati ya hizo,ipi ni nzuri. Wadau wengu wanasema hayo magari yanasumbua sana. Lakini kipekee nayapenda mwenokano wake pamoja na speed. Je gari hizo spea zipo!? Je hazina changamoto ya kusumbua mifumo ya umeme,engine,gia box? Mafundi wapo na ni wabobezi au ikoje? Zipo kuanzia 2005 na kibongobongo angalau 2010 inakua poa. Naomba info,nitashukuru.
Sent using Jamii Forums mobile app
Noted mkuu. Nakushukuru sanaEngine nzuri cc2000. Gari ikishazidi miaka 10 ni wazi kuna vitu vinaanza kuchoka inabidi ubadilishe. Shida kubwa gari hizi vitu ni bei kubwa kidogo ila spare zipo na mafundi wapo
Jeep Grand Cherokee gari nzuri sana cha kushangaza bei yake ikiwa mpya ni ya chini kuliko magari mengi tuliyoyazoea.hapo umenena ,kiukweli nilipanda kama abiria kwenye jeep grand cherokee model za hivi karibuni aisee gari tamu mpaka kisogoni
Hapo kwenye Golf Mk5 nakukubali sana.Wale wamiliki na wanapoenda kumiliki magari ya Mzungu tukutane hapa Kwa ushauri na kubadilishana mawazo. Najua ni changamoto Sana kumiliki haya magari hapa Tz kuanzia mafundi,spare na uchumi vile vile. Nina uzoefu mkubwa sana kwenye haya magari. Nimetumia BMW,Mercedes,Audi, Volvo na sasa hivi natumia VW Golf Mk5 2.0FSi. Niulize chochote kuhusu magari haya nitakujibu kwa uzoefu wangu. Karibuni tujadiliane. Jitahidi kununua gari isiozidi miaka 10 kwasababu vitu vingi kwenye gari vinachoka baada ya miaka kumi.
hilo unalosema linawezekana maana hata huyo jamaa aliyenunua hiyo gari hafanani na perception za watu wengi na mimi nikiwemo za bei ya JEEP.Jeep Grand Cherokee gari nzuri sana cha kushangaza bei yake ikiwa mpya ni ya chini kuliko magari mengi tuliyoyazoea.
Yeah ni gari ya kawaida, haina makuu ila iko vizuri barabarani na kiuchumi.Hapo kwenye Golf Mk5 nakukubali sana.
Hiyo kitu ni simple machoni ila mziki wake barabarani ni hatari.
Nishatembea na Golf Mk 5 2.0 GT (sio GTI)
Kiatu chake na burdani si mchezo
Sana boss wanguYeah ni gari ya kawaida, haina makuu ila iko vizuri barabarani na kiuchumi.
Na swali. Akitokea Mengi akatangaza dau, je utabaki na Shabaan Robert wa JF (KENZY) au utaenda kwenye pesa?Woow, mashairi matamu hadi raha....
Asante mingiii.