Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Unaweza ukajiingizia umeme wako mwenyewe au kinasoma matumiz tu???Kuna kifaa kinachofungwa pembeni ya mita kubwa ya Tanesco, hicho kinasoma matumizi yako ya umeme. Kinapatikana kwenye maduka ya vifaa vya umeme kinaondoa malalamiko hata kwa wapangaji.