Unaweza ukajiingizia umeme wako mwenyewe au kinasoma matumiz tu???Kuna kifaa kinachofungwa pembeni ya mita kubwa ya Tanesco, hicho kinasoma matumizi yako ya umeme. Kinapatikana kwenye maduka ya vifaa vya umeme kinaondoa malalamiko hata kwa wapangaji.
Unaweza ukajiingizia umeme wako mwenyewe au kinasoma matumiz tu???
Mkuu ivi kuna uwezekano wa kufungua salon ukaweka mtu muaminifu na still ukapata faida? Au ndyo mpaka uwepo muda wote iliwasikupige?Director mwenyewe
Inawezekana japokuwa ni shida kuwapata.Mkuu ivi kuna uwezekano wa kufungua salon ukaweka mtu muaminifu na still ukapata faida? Au ndyo mpaka uwepo muda wote iliwasikupige?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakwel ateseka sana na hii biashara lakin moyo wangu unaniambia sipaswi kuiacha.
Mm i mfanyakaz na nina salun lakin vija kila week sound tu za hakuna wateja.
Nimeshafukuza mmoja huyu wa pil nae naona sound zishaanza..huwa nahis labda location ni shida maana ipo uchochoron.
Kero nyingine tuna share umeme na mama mwenye nyumba basi mzigo wote unakua wangu maana siwez acha umeme umeisha wakat bila huo hamna kazi.Hana ushirikia o kabisaa.
Biashara yangu ina mwez wa 5 sasa sidhan kama nimeingiza not more than 600,000/= kwa investment ya more than 2.5M
Kichwa kinauma kwel ila nimeamua niweke haya mawaz kando kwanza nimempa kaz wife awe anafuatilia kwa ukaribu maana yy kazin nai karib na ofis ilipo.
Umekosea location, na pia jaribu kutafuta kijana muaminifu. Mwisho wa ujanja wote ni kuweka CCTV hapo utakua unajua idadi ya wateja waliopatiwa huduma na hatoweza kukusound suala la kukosa watejaKwakwel ateseka sana na hii biashara lakin moyo wangu unaniambia sipaswi kuiacha.
Mm i mfanyakaz na nina salun lakin vija kila week sound tu za hakuna wateja.
Nimeshafukuza mmoja huyu wa pil nae naona sound zishaanza..huwa nahis labda location ni shida maana ipo uchochoron.
Kero nyingine tuna share umeme na mama mwenye nyumba basi mzigo wote unakua wangu maana siwez acha umeme umeisha wakat bila huo hamna kazi.Hana ushirikia o kabisaa.
Biashara yangu ina mwez wa 5 sasa sidhan kama nimeingiza not more than 600,000/= kwa investment ya more than 2.5M
Kichwa kinauma kwel ila nimeamua niweke haya mawaz kando kwanza nimempa kaz wife awe anafuatilia kwa ukaribu maana yy kazin nai karib na ofis ilipo.
Mkuu tupe Siri unasimamia vipi ili kumudu uendeshaji wa hizo saluni na pesa ipatikane bila tatizo.Mambo ya salun sio rahisi wafanyakazi ni wajanja janja kwa hio salun inahitaji uwangalizi wa hali ya juu by th way salun ni biashala ambayo haiumizi kichwa sana ukipata wafanyakazi makini na location nzuri.
Mm namiliki salun tano mjini hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo aliefunga salon hauzi vifaa!!nina uhitaji wa kile kiti cha kuoshea na beseni lakeMwenzio huku amelazimika kuifunga kabisa salon na Hana hata mwezi aliajiri kijana hesabu hamna kabisa.. Nakuhurumia..
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Alitaka akuingize kingi na wewe.Kuna jamaa alifungua saluni nzuri sana kwangu apa ila kinyozi anamuambia biashara hamna, jamaa akaamua kuifunga na akasamehe kodi yake kinyozi kanifuata eti mimi ndo niinunue yeye aendelee na kazi kwani biashara inalipa nikamfukuzia mbali nikapangisha mtu mwingine.
Upo sehem gan mkuu tufanye kazi, mimi kinyozi nina huzoefu wa zaidi ya miaka 3 kweny hii faniNasubiri madini kutoka kwa wenye uzoefu na hii biashara maana mie binafsi niko njiani kufungua hii biashara na tayari nimeshalipia fremu
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ni kuthubutu, faida na hasara hazikwepeki kwenye biasharaMwenzio huku amelazimika kuifunga kabisa salon na Hana hata mwezi aliajiri kijana hesabu hamna kabisa.. Nakuhurumia..
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima uwe na utaratibu mzuri wa kujua mapato yako kwa siku kabla haujampatia mkataba kinyoz wakoKwakwel ateseka sana na hii biashara lakin moyo wangu unaniambia sipaswi kuiacha.
Mm i mfanyakaz na nina salun lakin vija kila week sound tu za hakuna wateja.
Nimeshafukuza mmoja huyu wa pil nae naona sound zishaanza..huwa nahis labda location ni shida maana ipo uchochoron.
Kero nyingine tuna share umeme na mama mwenye nyumba basi mzigo wote unakua wangu maana siwez acha umeme umeisha wakat bila huo hamna kazi.Hana ushirikia o kabisaa.
Biashara yangu ina mwez wa 5 sasa sidhan kama nimeingiza not more than 600,000/= kwa investment ya more than 2.5M
Kichwa kinauma kwel ila nimeamua niweke haya mawaz kando kwanza nimempa kaz wife awe anafuatilia kwa ukaribu maana yy kazin nai karib na ofis ilipo.
Kuna jamaa alifungua saluni nzuri sana kwangu apa ila kinyozi anamuambia biashara hamna, jamaa akaamua kuifunga na akasamehe kodi yake kinyozi kanifuata eti mimi ndo niinunue yeye aendelee na kazi kwani biashara inalipa nikamfukuzia mbali nikapangisha mtu mwingine.