Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Timu za kariakoo (Simba sc na Yanga Sc) Hawa mapacha huwa wanakasumba sana haswa Hawa viongozi wanapoulizwa kuhusu suala la masilahi.

Nimemshuhudia Chama (kipenzi Cha mashabiki) akicheza mpira katika ligi yetu hii kwa nidhamu kubwa kwa misimu kadhaa bila kusikia kakwaruzana na mchezaji mwenzie au kiongozi mwenzake je leo hii Kuna Nini kwa Chama?

Tulizoea kusikia Mkude kafanya hivi au Benard Morson kafanya kile hapo nzungumzia wakiwa Simba sc acha Yanga Sc kwa Bernard morsoni watu Kama Hawa mwisho wa siku mashabiki tulizoea kutokana na utundu wao.

Aliachwa Saidoo ntibazonkiza pale Yanga Sc juu juu tu hakuna sababu ya maana iliyoelezwa, hii ni kasumba kwa timu yetu/timu zetu za Kariakoo na hii hutokana na viongozi kutoa ahadi zisizo na vitendo na wachezaji wakihoji wanaonekana ni watovu wa Nidhamu.

Maoni Yangu: ifike hatua timu za kariakoo ziache janja janja haswa kwenye masilahi/posho za wachezaji.

Hakuna shabiki wa Simba sc na Yanga Sc asiyejua kuwa Chama kwenye Suala la nidhamu yupo vizuri Ila janja janja za viongozi wa kariakoo huwa zinatengeneza hadithi za kumtoa mtu kwenye Reli.

Nawasilisha hoja.
WSewe unajuwa zaidi ya viongozi?
 
WSewe unajuwa zaidi ya viongozi?
WEWE UNAE JUA TUAMBIE KASIMSMISHWA KWA SABABU GANI?

KAMA HAWAJATOA SABABU UKWELI UTABAKI HAPO JUU.

MMESAHAU KUWA MKUDE MLISEMA ANA UGONJWA WA AKILI??

HIZI TIMU ZA KARIAKOO ZINA DRAMA SANA SEMA WACHEZAJI WANA KAA KIMYA TU KULINDA HESHIMA YAO KWA MASHABIKI.

IPO SIKU WATAKUJA KUONGEA HADHARANI UTUMBO UNAOFANYWA NA VIONGOZI WA KARIAKOO.
 
Kama amezingua acha apate mfungo,hatuwez kuabudu mchezaji kana kwamba yey ndo kaibeba club toka 1936!ila tu pasiwepo uonevu kama amezingua acha aonje mfungo
MBONA KLABU HAITOI SABABU YA KILE ALICHOFANYA.
 
WEWE UNAE JUA TUAMBIE KASIMSMISHWA KWA SABABU GANI?

KAMA HAWAJATOA SABABU UKWELI UTABAKI HAPO JUU.

MMESAHAU KUWA MKUDE MLISEMA ANA UGONJWA WA AKILI??

HIZI TIMU ZA KARIAKOO ZINA DRAMA SANA SEMA WACHEZAJI WANA KAA KIMYA TU KULINDA HESHIMA YAO KWA MASHABIKI.

IPO SIKU WATAKUJA KUONGEA HADHARANI UTUMBO UNAOFANYWA NA VIONGOZI WA KARIAKOO.
Mimi nasoma na nafata walilosema viongozi.

Wewe hulijuwi?
 
Hizo ni siasa za nje ya uwanja, Kuna wachezaji Kama Mogela au Mwameja walifanya makubwa Simba Ila mwisho wao ulikuwa mbaya. Tatizo ni viongozi hawajui Nini tatizo la timu kufanya vibaya wameanza kutuhumu wachezaji ovyo.
 
Mimi nasoma na nafata walilosema viongozi.

Wewe hulijuwi?
KIPI WALICHOKISEMA?

UTOVU GANI WA NIDHAMU? KUDAI PESA/POSHO NI UTOVU WA NIDHAMU?

KAMTUKANA NANI? KIONGOZI GANI ?HAJAINGIA MAZOEZINI AU KAFANYIWA SUB KAKATAA KUTOKA?

UTOVU WA NIDHAMU ALIKUA NAO MORSON HIYO IPO WAZI.
 
Timu za kariakoo (Simba sc na Yanga Sc) Hawa mapacha huwa wanakasumba sana haswa Hawa viongozi wanapoulizwa kuhusu suala la masilahi.

Nimemshuhudia Chama (kipenzi Cha mashabiki) akicheza mpira katika ligi yetu hii kwa nidhamu kubwa kwa misimu kadhaa bila kusikia kakwaruzana na mchezaji mwenzie au kiongozi mwenzake je leo hii Kuna Nini kwa Chama?

Tulizoea kusikia Mkude kafanya hivi au Benard Morson kafanya kile hapo nzungumzia wakiwa Simba sc acha Yanga Sc kwa Bernard morsoni watu Kama Hawa mwisho wa siku mashabiki tulizoea kutokana na utundu wao.

Aliachwa Saidoo ntibazonkiza pale Yanga Sc juu juu tu hakuna sababu ya maana iliyoelezwa, hii ni kasumba kwa timu yetu/timu zetu za Kariakoo na hii hutokana na viongozi kutoa ahadi zisizo na vitendo na wachezaji wakihoji wanaonekana ni watovu wa Nidhamu.

Maoni Yangu: ifike hatua timu za kariakoo ziache janja janja haswa kwenye masilahi/posho za wachezaji.

Hakuna shabiki wa Simba sc na Yanga Sc asiyejua kuwa Chama kwenye Suala la nidhamu yupo vizuri Ila janja janja za viongozi wa kariakoo huwa zinatengeneza hadithi za kumtoa mtu kwenye Reli.

Nawasilisha hoja.
Wewe ni adui wa soka. Waajiri wamemchukulia hatua mwajiriwa wao, wewe unahoji nini?
 
Mipira ya kiafrika shida sana unaambiwa utovu wa nidhamu halafu huelezwi alichofanya mnabaki mitandaoni mnalumbana bila kujua chochote.
Club Gani Dunia I imewahi taja shutuma hizo? Nitajie na Kwa mchezaji gan?
 
Mke siku zote anaonekana mzuri na mwema kwa watu wa nje ila ukitaka habari zake kamili uliza kwa yule anayelala na kuamka nae kitanda kimoja
 
Timu za kariakoo (Simba sc na Yanga Sc) Hawa mapacha huwa wanakasumba sana haswa Hawa viongozi wanapoulizwa kuhusu suala la masilahi.

Nimemshuhudia Chama (kipenzi Cha mashabiki) akicheza mpira katika ligi yetu hii kwa nidhamu kubwa kwa misimu kadhaa bila kusikia kakwaruzana na mchezaji mwenzie au kiongozi mwenzake je leo hii Kuna Nini kwa Chama?

Tulizoea kusikia Mkude kafanya hivi au Benard Morson kafanya kile hapo nzungumzia wakiwa Simba sc acha Yanga Sc kwa Bernard morsoni watu Kama Hawa mwisho wa siku mashabiki tulizoea kutokana na utundu wao.

Aliachwa Saidoo ntibazonkiza pale Yanga Sc juu juu tu hakuna sababu ya maana iliyoelezwa, hii ni kasumba kwa timu yetu/timu zetu za Kariakoo na hii hutokana na viongozi kutoa ahadi zisizo na vitendo na wachezaji wakihoji wanaonekana ni watovu wa Nidhamu.

Maoni Yangu: ifike hatua timu za kariakoo ziache janja janja haswa kwenye masilahi/posho za wachezaji.

Hakuna shabiki wa Simba sc na Yanga Sc asiyejua kuwa Chama kwenye Suala la nidhamu yupo vizuri Ila janja janja za viongozi wa kariakoo huwa zinatengeneza hadithi za kumtoa mtu kwenye Reli.

Nawasilisha hoja.
Chama aliota mapembe akadhani ni mkubwa kuliko team yenye miaka 88. Simba alipita marehemu Gaga, alipita Kibaden na wamepita mastaa wa maana wengi sana.

Chama alidengua mwanzoni mwa msimu wakati wa safarii ya Uturuki mpaka akabembelezwa ndio akaenda, keshakuwa na hulka za kibongo.
 
UNAWEZA KUSEMA CHAMA KASIMAMISHWA KWA SABABU GANI??

KUHUSU SUALA LA CHAMA KWENYE USAJILI KULETA DRAMA HIYO NI AWAIDA KAJA KUTAFUTA PESA HAPA LAZIMA ATINGISHE WALAU HATA MKATABA USOME ACHUKUE KIBUNDA.

HAKUJA KUIMBWA BILA MASILAHI SIYO KLABU YA BABA AKE HII.
Kuchelewa mazoezini ni sababu tosha kabisa ya kumsimamisha, pia Benchikha ni kocha wa kiarabu mwenye kupenda mpira wa kasi wakati wa mechi. Chama hana kasi japo ana akili ya mpira. Pia hakabi wakati timu ikitaka kuulinda ushindi.
 
Chama aliota mapembe akadhani ni mkubwa kuliko team yenye miaka 88. Simba alipita marehemu Gaga, alipita Kibaden na wamepita mastaa wa maana wengi sana.

Chama alidengua mwanzoni mwa msimu wakati wa safarii ya Uturuki mpaka akabembelezwa ndio akaenda, keshakuwa na hulka za kibongo.
ALIDENGUA AU ALIKUA ANAHOJI MASLAHI YA MKATABA??

KWA NINI HAMPENDI MCHEZAJI KUOMBA KUONGEZEWA MASLAHI YA MKATABA??

HIYO IPO PANDE ZOTE MBILI IWE YANGA AMA SIMBA UKIGUSA MASUALA YA MKATABA LAZIMA UAMBIWE MTOVU WA NIDHAMU.
 
Unajua Chama kakosea Nini??

Ukijua hicho ndiyo uje UJENGE hoja.
Unataka ufahamu ili iweje? Sio kila jambo linaenda public,

Umepewa taarifa hata kama hutamuona uwanjani ujue ana changamoto.

Sababu nyingine unaweza kuweka wazi zikawa na madhara zaidi ya tatizo lilipo alafu mkarudi tena hapa kulaumu.

Simba kuna watu wazima punguzeni chokochoko.
 
Back
Top Bottom