Tunaomjua Mwamba wa Lusaka (Chama) na makubwa aliyoyafanya katika ligi hii lazima tutafakari tuhuma alizopewa kuwa ni mtovu wa nidhamu

Wampe thank you Kama wanaona anastahili lakini siyo kuzusha utovu wa Nidhamu.
 
-Taarifa zinasema mwalimu wa viungo wa Simba aliwaita wachezaji kupasha miili joto katika mchezo dhidi ya Wydad AC, Chama alikua bado anataka kuuchezea mpira so alichelewa kidogo kwenda, ukatokea ubishani na mwalimu kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni utovu wa nidhamu.
..
Ndugu Phiri hakuvaa bips ya mazoezi yenye nembo ya CAF ilhali wapo katika mchezo wa CAF, ikatafsiriwa kama hakuwa siriaz na mchezo hivyo akawekwa pembeni kabisa katika mchezo huo dhidi ya Wydad.
..
Shehe Kapama hakufika mazoezini hii ni kabla ya mchezo dhidi ya Wydad AC, alimpa sababu mwalimu wa viungo kuwa alikua anaumwa na alikuwa hospitali, mwalimu wa viungo akasema anatakiwa kupewa taarifa hiyo na mwalimu mkuu Benchikah sio Mchezaji.m
 
Bora amfuate chapii mwenzake Mkude wakasaidiane kusugua benchi
 
Imagine wakisema chama ni kibaka mwizi ktk jamii inaleta picha ipi kwa upande wangu naona ni statement sahihi kama ulivosema utovu wa nidhamu ni neno Pana lenye ukakasi ndani.
Wacha tusubiri nani yu sahihi kati ya bwana chama na waajiri wake
 
Unajua kafanya nini kwanini tusielezwe alichofanya tukipime
Muhusika si kajulishwa kuwa amekiuka utaratibu wa taasisi yake [emoji16]
Ni vema mngelimtafta chama mmuulize kwa mapana zaidi[emoji16]
Kwani manyara anasemaje si mshikaji wake[emoji2][emoji2][emoji2]
Kama vipi aje yanga achukue nafasi mnata
 
Nionavyo mimi ni kiwango kidogo anachoonesha uwanjani kimesababisha yote hayo.

Kuhusu longolongo za malipo hizo zipo tuu hakuna klabu inayolipa wachezaji kwa asilimia zote.

Licha ya kuonekana angalau tumejipata lakini ligi yetu bado sana kuhusu maslahi ya wachezaji.
 
Imagine wakisema chama ni kibaka mwizi ktk jamii inaleta picha ipi kwa upande wangu naona ni statement sahihi kama ulivosema utovu wa nidhamu ni neno Pana lenye ukakasi ndani.
Wacha tusubiri nani yu sahihi kati ya bwana chama na waajiri wake
Kama ni kibaka asemwe. Kuficha ndio kutaleta picha nzuri?

Kama taasisi kuwa responsible na trasparent ni jambo zuri. Kufichaticha mambo ndio huarisbu taswira ya taasisi.
 
Lazima umjue Mwamba wa Lusaka maana huwa anakushikisha ukuta
 
Asante Sana Scars Kwa ufafanuzi mzuri. Lakini haya yote yasingeongelewa kama upande wa mashitaka ungekuwa umeweka Wazi kosa/makosa ya mtuhumiwa hadharani. Hapa wanachofanya watu ni kuwa upande wa Mnyonge. Hebu elezeni Chama kafanya nini ili Mahakama ya Jamii ipitishe hukumu ya Wazi.
 
Sisi ni Wadau wa mchezo huu, tuna haki ya kujua chanzo cha tatizo. Kama walitaka iwe Siri wangeacha kimya tangu mwanzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…