falcon mombasa
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 9,189
- 9,299
wakuu habari
Hii ni thread maalum kabisa kwa ajili ya kujadiliana kwa sisi wafuasi wa Uhuru.uchaguzi wa mwaka huu umekuwa na ushindani mkubwa ila inatia moyo kuona bado wakenya wengi wanaimani na rais Uhuru. Hii thread inawahusu watanzania waliotayari kumsupport rais uhuru.mimi nina imani kubwa tarehe nane ushindi utabaki kwa uhuru,
mawazo chanya kupewa kipaumbele
[HASHTAG]#Uhurutena[/HASHTAG]
Hii ni thread maalum kabisa kwa ajili ya kujadiliana kwa sisi wafuasi wa Uhuru.uchaguzi wa mwaka huu umekuwa na ushindani mkubwa ila inatia moyo kuona bado wakenya wengi wanaimani na rais Uhuru. Hii thread inawahusu watanzania waliotayari kumsupport rais uhuru.mimi nina imani kubwa tarehe nane ushindi utabaki kwa uhuru,
mawazo chanya kupewa kipaumbele
[HASHTAG]#Uhurutena[/HASHTAG]