Tunaonywea pombe nyumbani kwasababu mbalimbali ikiwèmo kuficha tabia yetu ya ulevi tuonane hapa

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Kama kichwaccha habari kinavyojìleza, wote tunaokunywa pombe za ķujificha tukutane huku tusingoje yatukute yaĺiyomkuta mzee wa upako, najua wengì tunatamani kuacha pombe lakini tumenaswa mahali.

Tumeishia tu kusema hii ndio chupa yangu ya mwisho, kesho sinywi tena, na akili źikiturudia tunajikuta tusha haribu.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume mje wazee wa Shaolin Temple
 
Pombe ya nyumbani haina ladha kama ilivyo ile ya bar... Mazingira ndio mpango mzima na mandhari yake.. Na zile sura mpya unazoziona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachungaji walevi ni wachawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…