Tunaonywea pombe nyumbani kwasababu mbalimbali ikiwèmo kuficha tabia yetu ya ulevi tuonane hapa

Tunaonywea pombe nyumbani kwasababu mbalimbali ikiwèmo kuficha tabia yetu ya ulevi tuonane hapa

Kulewa ni kuisahulisha akili isiwaze matatizo kwa muda
Hamna hiyo kitu mzee, yaani wale wanaokua bar wote wameenda kusahau matatizo yao kwa muda??

Ile starehe kama watu waovuta bangi, sigara, unga, ngono nk.

Ile hali ya kua umelewa ndo watu huipenda, ile kukutana na marafiki story mingi ivoo yani. Sema kwakua hujawah kuonja huwezi elewa.
 
Hamna hiyo kitu mzee, yaani wale wanaokua bar wote wameenda kusahau matatizo yao kwa muda??

Ile starehe kama watu waovuta bangi, sigara, unga, ngono nk.

Ile hali ya kua umelewa ndo watu huipenda, ile kukutana na marafiki story mingi ivoo yani. Sema kwakua hujawah kuonja huwezi elewa.
Ni moja ya kipelekeo simaanishi wote wanalewa kwa sababu moja
 
Back
Top Bottom