Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Ghasarikire mura!Uhoire taata?Pombe za Wakurya aisee..... Tata mang'ana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghasarikire mura!Uhoire taata?Pombe za Wakurya aisee..... Tata mang'ana?
I like itNa nilikuwa sijui aisee!Kumbe hadi masikio yake ni asusa nzuri tu!Abarikiwe sana.🙏😂
Mashehe na wachungaji wanakula kitimoto na pombe za kujificha, halafu wanazuga hawanywiWachungaji walevi ni wachawi
Let them enjoy life, we live just once.Mashehe na wachungaji wanakula kitimoto na pombe za kujificha, halafu wanazuga hawanywi
Haha hahah hahah na kifafabraza masanga ya kujificha yatakusababishia kisukari na presha.
Kulewa na kubadilika kiakili siyo faida?pombe haina faida
Waache kujifanya watakatifuLet them enjoy life, we live just once.
Wewe sio mlevi.Pombe inanoga penye kelele ikinywewa nyumbani ugeuka juice
Ukimuona mtu ni mlevi pigia mstari kua huyo sio mchawi.Wachungaji walevi ni wachawi
Sikubahatika kupita huko na umri wa kujifunza pombe ulishanipitaWewe sio mlevi.
Uliposema pombe tamu kwenye kelele wakati mlevi anachotaka ni pombe tu haijalishi mazingira.Sikubahatika kupita huko na umri wa kujifunza pombe ulishanipita
Au mahindi ya kuchoma ya pilipili ya mtaani.sawa na utamu wa mishikaki ya barabarani na ujitengenezee nyumbani
Mimi niliikata kitambo sana tangu primary so ngumu sana kupombeka ukubwani kwa stress zipiUliposema pombe tamu kwenye kelele wakati mlevi anachotaka ni pombe tu haijalishi mazingira.
Kama umri umeenda usijaribu kabisa, huwa mnafauka vibaya sana mkianza pombe ukubwani.
Hii tabia wanaifanya jamaa zangu walokole wanaojidai mbele za watu kuwa pombe ni mbaya huku nyuma ya pazia wanaipenda kweli kweri.Kama kichwaccha habari kinavyojìleza, wote tunaokunywa pombe za ķujificha tukutane huku tusingoje yatukute yaĺiyomkuta mzee wa upako, najua wengì tunatamani kuacha pombe lakini tumenaswa mahali.
Tumeishia tu kusema hii ndio chupa yangu ya mwisho, kesho sinywi tena, na akili źikiturudia tunajikuta tusha haribu.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume mje wazee wa Shaolin Temple
pombe ni starehe kama ilovyo ngono wala sio kuondoa stress kama wwngi wanavyoitumia.Mimi niliikata kitambo sana tangu primary so ngumu sana kupombeka ukubwani kwa stress zipi
Kulewa ni kuisahulisha akili isiwaze matatizo kwa mudapombe ni starehe kama ilovyo ngono wala sio kuondoa stress kama wwngi wanavyoitumia.
Na ni makosa sana ukiwa na stress afu ukaenda kulewa eti uziondoe.
Nanywea pombe nyumbani kwa starehe zangu wala sijifichi na sina mpango wa kuacha.Kama kichwaccha habari kinavyojìleza, wote tunaokunywa pombe za ķujificha tukutane huku tusingoje yatukute yaĺiyomkuta mzee wa upako, najua wengì tunatamani kuacha pombe lakini tumenaswa mahali.
Tumeishia tu kusema hii ndio chupa yangu ya mwisho, kesho sinywi tena, na akili źikiturudia tunajikuta tusha haribu.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume mje wazee wa Shaolin Temple