Tunaopenda kukaa KAUNTA kwenye viti vya juu kabisa tuonane hapa

Tunaopenda kukaa KAUNTA kwenye viti vya juu kabisa tuonane hapa

Mm huws namcheki mhudumu mkali kwanza ndio unakuwa uwelekeo wangu
 
Habari za wikiend wandugu,,,,,
Niende Moja kwa Moja kwenye mada
Mimi nikienda bar Huwa naenda kukaa viti vya juu pale kwa muhudumu huku nikiendelea kufyonza mvinyo taratibu sana
Share experience yako
Nini kinakufanya upapende hapo kaunta?
 
Kipindi nakunywa bia seat yangu ilikuwa ni kaunta tu, mpaka sasa naenda baa naagiza soda nakaa kaunta pia
 
Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.

Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
 
Aisee counter ndiyo mpango mzima, mm bar yeyote ninayoenda lazima nikae counter na nikiona mazingira ya counter si rafiki bora nitafute bar nyingine ila siyo kukaa kwemye viti. Faida mojawapo kubwa kwangu mm ni kupata huduma kwa haraka, maana mm huwa nakunywa bia kwa haraka sana na sikaagi muda mrefu bar. Kingine ni ngumu kuchomekewa bili maana mnahesabu wote ww na counter, sababu nyingine ni za kiusalama maana unakuwa juu na kuona almost bar nzima, n be attentive in case of anything. Mwisho ni ngumu sana kuchezewa mchezo ukiwa counter vitu kama kuwekewa dawa kwenye bia etc...
 
Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.

Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
We unayekunywa soda nikukute mbinguni ole wako na wewe uchomwe Moto wa milele Huku maini yako yakiwa hayajakaangwa kwa pombe.


Usihukumu
 
Back
Top Bottom