ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Me kote sawa tu ila zaidi nikiwa counter za club au bar za beach...ila sehemu Kuna kitimoto hapana aisee nakaa Pembeni huko no kuchorana..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe usiyekunywa umefanya ninj cha maana?Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Kiasi cha pombe ulichokunywa huwa kinajulikana kama umeacha vyupa mezani..!! Halafu hebu fikiria mmekaa wote pale kaunta, utakuwa unakimbia nini sasa?Huwa sipendi watu wajue nimekunywa kiasi gani cha pombe
Dogo umepata mzigo wako uliouacha kwenye gari? We sio hadhi yangu, nilikuona kule kwenye picha uliyotupia kwenye uzi wa Bujiji. Umri wako ni sawa na binti yangu Gifz. Siwezi ongea nawe. We fanya kazi ya kutawadha vikongwe na kuuza condom kwenye ile NGO unavyofanya kazi.Wewe usiyekunywa umefanya ninj cha maana?
Hahaaaa, haya mkuu lakini Bangi umeacha siku hizi?We unayekunywa soda nikukute mbinguni ole wako na wewe uchomwe Moto wa milele Huku maini yako yakiwa hayajakaangwa kwa pombe.
Usihukumu
Kumbe mambo ya bar huyajui wewe sioNyie walevi mpka mchomekewe bill hamjui kiasi mlicho kunywa ?
Mnatia huruma sana wapenda viti virefu mkilewaga mnapinduka na hayo maviti mnapigiza visogo chini sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Habari za wikiend wandugu,,,,,
Niende Moja kwa Moja kwenye mada
Mimi nikienda bar Huwa naenda kukaa viti vya juu pale kwa muhudumu huku nikiendelea kufyonza mvinyo taratibu sana
Share experience yako
Hayo wahudumu wanasubiri ulewe upigize kichwa sakafuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nipo kaunta hapa maeneo ya Mbezi...
Oneni hii takataka,ww vitu vysko vitamu vimekufikisha wapiMalevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Inabidi ufe huku maini na figo vikiwa nyang'anyang'a kwa kvant na konyagi mpaka Yesu anakutolea mfano kwa wengine kwa kukusimamisha na kuwauliza hivi; nikimsamehe dhambi huyu ambaye maini yake yapo nyang'anyang'a kwa ulevi au huyu ambaye amejifia na maini yake yakiwa mazima kabisa, je ni yupi atanipenda zaidi?Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Kwanza anataka kufa na maini mapya akamlingishie nani???Inabidi ufe huku maini na figo vikiwa nyang'anyang'a kwa kvant na konyagi mpaka Yesu anakutolea mfano kwa wengine kwa kukusimamisha na kuwauliza hivi; nikimsamehe dhambi huyu ambaye maini yake yapo nyang'anyang'a kwa ulevi au huyu ambaye amejifia na maini yake yakiwa mazima kabisa, je ni yupi atanipenda zaidi?
Wote tunamjibu, huyo ambaye hana maini.
hahahahahahahahaInabidi ufe huku maini na figo vikiwa nyang'anyang'a kwa kvant na konyagi mpaka Yesu anakutolea mfano kwa wengine kwa kukusimamisha na kuwauliza hivi; nikimsamehe dhambi huyu ambaye maini yake yapo nyang'anyang'a kwa ulevi au huyu ambaye amejifia na maini yake yakiwa mazima kabisa, je ni yupi atanipenda zaidi?
Wote tunamjibu, huyo ambaye hana maini.
Malevi yana chat tu.
Dhambi Ni Nini?Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Achana naye huyooo,,,,,