Tunaopenda kukaa KAUNTA kwenye viti vya juu kabisa tuonane hapa

Tunaopenda kukaa KAUNTA kwenye viti vya juu kabisa tuonane hapa

Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.

Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Minafiki inajiona mijitu ya maana sana, ungeuruka huu uzi kungekuwa na shida gani.Walevi mnawafatilia Kila siku ila wao hawana na habari zenu.
 
Inabidi ufe huku maini na figo vikiwa nyang'anyang'a kwa kvant na konyagi mpaka Yesu anakutolea mfano kwa wengine kwa kukusimamisha na kuwauliza hivi; nikimsamehe dhambi huyu ambaye maini yake yapo nyang'anyang'a kwa ulevi au huyu ambaye amejifia na maini yake yakiwa mazima kabisa, je ni yupi atanipenda zaidi?

Wote tunamjibu, huyo ambaye hana maini.
🤣🤣🤣
 
Uwa sijali nikoje mfukoni ila nikiingia Baani kaunt lazima na ninachoipendea pombe nikiinywa ya kutosha ndivyo zaidi natamani utulivu na kulala, hata hamu ngono uondoka kabisa.
Bia tamu☺️sana.
 
Kumbe mambo ya bar huyajui wewe sio
Mimi sio mnywaji wa pombe nitayajuaje na hata kama ningekuwa mnywaji siwezi chomekewa bill kizembe . lazima nijue kiasi nilichokunywa


Please embu nieleze wanawazulumu vipi au mkishaingia ndani bar akili hazifanyi tena kazi
 
Baadhi ýa sifa za kukaa KAUNTA.

Uwe na pesa ya kunywea bia na sio kuonja vibia vichache.

Kaunta ni ya watu wanaokunywa bia na sio wanywa soda.

Uwe na tabia ya kuwanunulia wenzako ingawa sio siku zote.

Hairuhusiwi kutongoza mwanamke ukikaa Kaunta. Awe Barmaid au mnywaji mwingine au mhudumu.
 
Kaunta pana raha, shida inaanza ukishalewa yani kile kiti unakiona kama ghorofa....
 
Mimi sio mnywaji wa pombe nitayajuaje na hata kama ningekuwa mnywaji siwezi chomekewa bill kizembe . lazima nijue kiasi nilichokunywa


Please embu nieleze wanawazulumu vipi au mkishaingia ndani bar akili hazifanyi tena kazi
Ukilewa unaweza ambiwa umekunywa bia kumi kumbe Tisa ,,,,,
Au chenji wamekurudishia kumbe hawajakupa
 
Dogo umepata mzigo wako uliouacha kwenye gari? We sio hadhi yangu, nilikuona kule kwenye picha uliyotupia kwenye uzi wa Bujiji. Umri wako ni sawa na binti yangu Gifz. Siwezi ongea nawe. We fanya kazi ya kutawadha vikongwe na kuuza condom kwenye ile NGO unavyofanya kazi.
Mzigo sijaupata mpaka leo. Mkuu wapi nimesema kuwa nafanya kazi kwenye NGO?
 
kaunta tunakaa wahuni 😁


PXL_20230408_151126551.jpg
 
Niko hapa kaunta Mat*ko bar. Npo kaunta Kwa sababu hiyo tu
 
Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.

Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
ulijuaje ni chungu rafiki?
 
Nikienda bar yeyote natafuta angle ambayo lazima nione watu wote. Nahakikisha kila kona nitaona kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom