Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Kwa kigezo gani mjukuu? Mwandiko wangu unafanana na ndege JOHN wa 95 mwenzio?Wewe ni dogo bana,[emoji2442][emoji2442][emoji2442]
Kwa nn unafikiri Mimi ni kijana wakati nimepost picha hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kigezo gani mjukuu? Mwandiko wangu unafanana na ndege JOHN wa 95 mwenzio?Wewe ni dogo bana,[emoji2442][emoji2442][emoji2442]
Mmbea wewe 95[emoji3][emoji3]Kwa kigezo gani mjukuu? Mwandiko wangu unafanana na ndege JOHN wa 95 mwenzio?
Kwa nn unafikiri Mimi ni kijana wakati nimepost picha hapo?
nakubaliana na wewe maana mimi pia naishi pwani, huku unaweza kua na miaka 30 halafu ukwa na bibi yako ana miaka 20 kisa tuu ni mke wa babu.Si unajua Sisi wazee wa pwani tunapenda mambo matamu mjukuu wangu?😀😀
Huyo ni bibi yako
Kususa? Mimi napenda kususa?Kwasababu unapenda kususa pia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu ni wewe?
Nashangaa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu ni wewe?
Tupia picha yako og,mie nilishatupia hapaNashangaa tu
Una vidole vizuri😍😍😍😍
Njoo tufugeWee msukuma unaonekana una hela za kufa mtu, na hicho kifriza dah 🤣🤣
KimpumuMkuu anaona ka kitambi ka komoni kamekaa pahala pake
Nawazaa wote nyie huo mwaka ndio nilibaleheOooh wa 7
Juzi tu umeni follow IG na niwewe kabisa
Uumeoona eeeeehWa kwenye avata ndio buji og.
NimeokokaaMmmh...! Kwamba ndio wewe msumbufu wewe?. Hapo uko kama umetoka kupanda mihogo kweli. Sidhani