Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunakujua chaliangu tokea enzi zile uko arosto unaishi ghetto daily ni ganja na viroba tu. Saivi umetusua unajisahaulisha sio?
Hahaha mkuu bado naishi ghetto Ila bangi ndo nimeachana nazo na viroba havipo SIKU hizi mwendo wa Safari lager.ila.kushukuru TU bado tuko hai wote nakumbuka tulizinguana Sana kipindi nikiwa team Magufuli a.k.a lumumba buku Saba alivoingia mama akaona anionjeshe kidogo cake nitulie

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
nimeamini umbaumbau wako na post zako zilivyo



huwaga mnabeba mambo mengi hadi mwili haunenepi
Ila NI bonge la handsome af nina vihela hela japo sio Sana nataka wife material anayejua kupika kuku nijenge mwili uko tayari twende kwa wazazi
IMG_20220218_181920_2.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha mkuu bado naishi ghetto Ila bangi ndo nimeachana nazo na viroba havipo SIKU hizi mwendo wa Safari lager.ila.kushukuru TU bado tuko hai wote nakumbuka tulizinguana Sana kipindi nikiwa team Magufuli a.k.a lumumba buku Saba alivoingia mama akaona anionjeshe kidogo cake nitulie

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hahaha kweli mkuu enjoy maisha wakati unaweza.
 
Back
Top Bottom