Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimefanyeje tena na mwezi huu wa toba?Ila Nyie Pombe wakati mwingine si nzurii hahaha
Duhhhh dunia simama kidogo aisee
Nipo kwa Mami Kivukoni Ilagala hapa mbona sikuoni mkuu?Simba ya kiume Kutoka pande za ilagala [emoji38]
Katuangusha kinomaMna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]
Ulisha wahi kurusha siku moja ila ulijiziba sana uso, nywele zako nzuri sanaNtarusha yangu badae kidogo, ngoja nilewe kwanza
Zee ni msafwaMna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]
Haaa haaaa 😁, napenda sana nywele. Baada ya kukata rasta nilibaki na nywele zangu za asili, sinyoagi kichwaniUlisha wahi kurusha siku moja ila ulijiziba sana uso, nywele zako nzuri sana
Bange[emoji849]Bangi nibangue na moyoni nikutie..
Umelewa nini..?
Tupia[emoji23]Kuna makomwe ya mtaani kwangu humu[emoji16][emoji16][emoji16]