Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Nipo hapa kaka mkubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa kaka mkubwa
Binamu zako ni wazima kabisa,huyu mmoja amelala🤗🤗🤗Nimekumiss pia,nimefrahi kukuona
Binamu zangu hawajambo?
[emoji7][emoji7]msalimie akiamkaBinamu zako ni wazima kabisa,huyu mmoja amelala[emoji847][emoji847][emoji847]
View attachment 2175615
Hiyo ni picha ya CEO of Blue Dot Data Insights, Larren Peart.yaani ugekua enzi zile niko kigori,PM yako leo ingejaaa na meseji zangu🤣☺️🤭🤭🤭🤭🤭🤭🤭
Hiyo ni picha ya CEO of Blue Dot Data Insights, Larren Peart.
Mtu wa Jamaica.
Huu uzi wa kuingizana chaka.hahahah thanks kwa kunifungua macho
Huyo Buji mwenyewe siamini picha yake labda leo kalewa double kick.Yaani huu Uzi wafuatao wakijichanganya kuweka sura zao humu, TISS watawatafuna kama simba
Tindo ,Mmawia ,denooJ ,Erythrocyte ,Salary Slip ,GENTAMYCINE ,imhotep ,Waterloo ,Matola ,Yoda , Daudi Mchambuzi , Sky Eclat ,F9T .
kweli mkuu Uzi wa kimitego huu. Trust me kuna watu wakijichanganya wakaweka sura zao basi hatunao hao .Huu uzi wa kuingizana chaka.
Kama ile stori ya mume na mke tujirushe ghorofani tufe pamoja kumbe kila mtu anamtegea mwenzie ajirushe yeye abaki mzima ale maisha.
Bora kujilipua PM kwa wanao tafuta wenza in background.
Yaani huu Uzi wafuatao wakijichanganya kuweka sura zao humu, TISS watawatafuna kama simba
Tindo ,Mmawia ,denooJ ,Erythrocyte ,Salary Slip ,GENTAMYCINE ,imhotep ,Waterloo ,Matola ,Yoda , Daudi Mchambuzi , Sky Eclat ,F9T .
hata Mimi si amini hizi picha . mods sijui huu Uzi wameupalilia wa nini.Huyo Buji mwenyewe siamini picha yake labda leo kalewa double kick.
si mchezo mkuu. Yaani ukijichanganya ni mwendo wa parapanda kwa kwenda mbele.😂😂 Yaani itakuwa balaa kwelikweli.