Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Kimuonekano Ni km washamba ila Sasa wanazo 💵💵💵za kutoshaWalezi wa Wana😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimuonekano Ni km washamba ila Sasa wanazo 💵💵💵za kutoshaWalezi wa Wana😄
Kabisa!na sio wachoyoKimuonekano Ni km washamba ila Sasa wanazo 💵💵💵za kutosha
Ng'ombe wa mayele kafikia hatua hii?
Yako sijaona kabisaaTupia kapicha kidogo ukamilishe furaha yako.
Duh mbona sasa ni mambo ya kipuuzi? Asante kwa taarifa[emoji16][emoji16]View attachment 2175856
Duuuh! watu ni hatari,nimegoogle nikamkuta jamaa.... ni CEOHiyo ni picha ya CEO of Blue Dot Data Insights, Larren Peart.
Mtu wa Jamaica.
Nina sura mbaya sana nitawatisha member wa JF.Yako sijaona kabisaa
Akili ndogoMkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humu🤔
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbavu sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninaamini anataniaNaamini hii ni nguvu ya bia
Kwa akili zetu hatuwezi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kisogo my ass..... yaani nina sura mbele na nyuma?
Relax, fanya Mambo yako,pamoja na kutafuta connection usiamini kila unaezoena nae humu..Da! Basi mimi sio mtu wa hayo, nimejiunga nitafute connection za kazi na kusoma habari, du!? Basi nikae kwa kutulia tu
Kaumbo ameizing
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wanaume wa hivi wanajua kupenda na kuhonga Sana, mi ndo napenda sasa dizaini hizi,
Mie pia sidhani kama picha ni zakeNinaamini anatania
Jimbo liko wazi, karibu tuchangamshe viungo vyetu vya uzaziWanaume wa hivi wanajua kupenda na kuhonga Sana, mi ndo napenda sasa dizaini hizi,
Jamani kumbe huwa nawaziwa na mrembo kama wewe. Bujibuji Simba Nyanaume uliyemuona ndiye halisiMie pia sidhani kama picha ni zake
Bujibuji Simba Nyanaume anayekuja kichwani mwangu sio wa kuvaa suruali pana namna ile tena ya kitambaa
Nahisi Mimi ndiyo Wananitamani zaidi!!!Yaani huu Uzi wafuatao wakijichanganya kuweka sura zao humu, TISS watawatafuna kama simba
Tindo ,Mmawia ,denooJ ,Erythrocyte ,Salary Slip ,GENTAMYCINE ,imhotep ,Waterloo ,Matola ,Yoda , Daudi Mchambuzi , Sky Eclat ,F9T .