ivan1212
JF-Expert Member
- Mar 4, 2019
- 932
- 2,441
[emoji16][emoji16]Unaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!![emoji23][emoji23]
Kweli sura sio roho..[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16]Unaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!![emoji23][emoji23]
Kweli sura sio roho..[emoji1787]
95 unafuga na ndevu hayo matumiz mabaya ya umri [emoji16][emoji16][emoji16]
Low IQMkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humu[emoji848]
si mchezo mkuu. Yaani ukijichanganya ni mwendo wa parapanda kwa kwenda mbele.
Hasa Erythrocyte na Popoma zee la matusiYaani huu Uzi wafuatao wakijichanganya kuweka sura zao humu, TISS watawatafuna kama simba
Tindo ,Mmawia ,denooJ ,Erythrocyte ,Salary Slip ,GENTAMYCINE ,imhotep ,Waterloo ,Matola ,Yoda , Daudi Mchambuzi , Sky Eclat ,F9T .
Chawa wa mama hakuna mwenye muda na weweKabisa, mimi hata wakija pm wala siwaji chochote.
Wanaume wa hivi wanajua kupenda na kuhonga Sana, mi ndo napenda sasa dizaini hizi,
[emoji23][emoji23][emoji23]Mnyakyusa huyo,na sarawili lenye marinda
mtandao wa kijamii usiopendwa hata kidogo na watawala wa nchi hii.Mkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humu🤔
Tunawasalimu...View attachment 2175406
Ndio jamii ya jamiiforum hiyo..😀[emoji16][emoji16]View attachment 2175856
Kuna kitu kinaitwa kesho!Hao wa kukamatwa na TISS ni wale wanaochangia jukwaa la siasa na intelligence mimi wa kula kimasihara Sina potential yoyote nshajiweka
Tupia kapicha kidogo ukamilishe furaha yako.😂😂😃 uzi unafurahisha
Walezi wa Wana😄Wanaume wa hivi wanajua kupenda na kuhonga Sana, mi ndo napenda sasa dizaini hizi,
sikushauri uiache au kuifuta , kikubwa umakini tu.Du mkuu humu sio mi nilijua upo vizuri tena mambo ya kufatana ngoja niache ata niifute tu
Uache tu haina madhara!wanaotafutwa Ni wale much know na kusemasema Mambo ya serikali kwa fujoDu mkuu humu sio mi nilijua upo vizuri tena mambo ya kufatana ngoja niache ata niifute tu