Shin Lim
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 7,837
- 14,198
tena mwenye kalio kubwa laini analolibana kwa taiti 2 lakini linacheza tu.Unaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena mwenye kalio kubwa laini analolibana kwa taiti 2 lakini linacheza tu.Unaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!!
Hahahahaha sijui aliwazaga nini huyu jamaaUnaweza kuamini muanzisha mada ndie alianzisha ID mpya na kujiita gilesi...!![emoji23][emoji23]
Kweli sura sio roho..[emoji1787]
Maisha ni safari ndo hizi..😂Hahahahaha sijui aliwazaga nini huyu jamaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]95 unafuga na ndevu hayo matumiz mabaya ya umri [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]looohFortaleza hapa...sisi wengine hatufanyi kazi TRA, TC wala Bandari ni wakulima tuu
View attachment 2175923
Hapo unavyofanania hata wateja hawawezi kuja dukani maana watajua ni msukule umekaa hapo.
Naona Tumbaku ipo jikoniFortaleza hapa...sisi wengine hatufanyi kazi TRA, TC wala Bandari ni wakulima tuu
View attachment 2175923
Unasoma TIA? Kuna mtu unafanana nae pale
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Ninae huku wa hivyo hivyo, halafu Ni km age mate wako Basi nadekaje[emoji126][emoji126][emoji2533]mimi ni wa kuulizwa nini kinanisumbua? Mimi wa kubembelezwa kula, na kuulizwa nachotaka mimi huyu!! Ama hakika Mungu awabariki na kuwainua
Ndege John unaendeleza uoga wako.Naogopa wasiojulikana
View attachment 2175139
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hii gwambina stadium, kama sikosei
Mi nilisha kuona[emoji1787]Kuna Uzi wa Selfika wa Mshana..
Ukienda huko unaweza kuwaona baadhi yao...
Conclusion unampiga chini, wanawake nyie!!!Ninae huku wa hivyo hivyo, halafu Ni km age mate wako Basi nadekaje[emoji126][emoji126][emoji2533]mimi ni wa kuulizwa nini kinanisumbua? Mimi wa kubembelezwa kula, na kuulizwa nachotaka mimi huyu!! Ama hakika Mungu awabariki na kuwainua
Hata mimi nilishakuona...Tulionana basi[emoji23]Mi nilisha kuona[emoji1787]
Sijamdharau ila nimemshangaa tu kwa muonekano wake wa kishuawakati unamuona rafu kuna jopo la COSTA ladies wanaparuzana juu yake
haya maisha usimzarau usiemjua