Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Shetani au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani au?
Akituma ya harusi nitaamini.Akili inakataa kuamini huyu ni simba nyanaume
We unaona shetan hapo?Shetani au?
Unalala kwenye freezer?
Ndiyo au wanafanana tu?We unaona shetan hapo?
Mkuu naona uko nje ya bani unakausha tumbaku nini?[emoji28][emoji28]Fortaleza hapa...sisi wengine hatufanyi kazi TRA, TC wala Bandari ni wakulima tuu
View attachment 2175923
Na t-shirt yako ya CWT, kumbe dogo tu.
Una msambwanda?Nahisi Mimi ndiyo Wananitamani zaidi!!!
Achana nao wasikutishe, usakwe kwa lipi?Mkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humu[emoji848]
Nikuone basi?[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Na awaangazie Nuru ya Uso wake na kuwafadhili...
Wanakuwaga Unique sana...
Mlugaluga flani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]
Wapi G?hapa au PM?[emoji28]Nikuone basi?
PopoteWapi G?hapa au PM?[emoji28]
In a sec[emoji23]Popote
Na wewe nikuone basi...Popote
Na mimi natupia ya kwangu ila nia ni kutafuta mchumba.
View attachment 2175224