Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Na awaangazie Nuru ya Uso wake na kuwafadhili...
Wanakuwaga Unique sana...
Na kuwabariki katika jina la baba, mwana na roho mtakatifu😍😍😍😍 Mungu wa mbinguni awape maisha marefu tuendelee kuinjoi😅😅
 
Na kuwabariki katika jina la baba, mwana na roho mtakatifu[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7] Mungu wa mbinguni awape maisha marefu tuendelee kuinjoi[emoji28][emoji28]
Na wote tuseme Amina kubwa..
 
Bujibuji Simba Nyanaume inaelekea wewe si mtu wa mazoezi hata kidogo...uko rafu sana kimuonekano. Je, wewe ni Msukuma, Mnyantuzu, Mnyamwezi, Mjaluo, Mnyakyusa, Mmang'ati, Mmasai, Muha, Mkurya?
Ahaaaaaaahaaaaaahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28]

Makiwendo nafwaaaa
 
Mna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]
Ahaaaaaaahaaaaaahaaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom