Lecheminduroi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 1,183
- 3,584
Hapa uko wa mnyama
Tanzania sasa ni nchi huru tangu 17th March 2021Ukishaona uso umekuwa na ganzi, ondoka bar la sivyo utamwaga siri zote kama Simba Nyanaume π
Na vile wewe ni Anti-ccm jiandae mkuu Tiss wanakukenulia.
Kabisa yaniHapa uko wa mnyama
Kwa hiyo huyo mwenye mtambi mkubwa ndio@Bujibuji ?
Ha haaa sawa,,,,Ila hiyo mikono ungevaa Sweta imekusaliti sijui Kama umewahi kushika jembe.Sisi walugaluga zetu ni kazi na sio mbwembwe
Na sururu pia inashikaHa haaa sawa,,,,Ila hiyo mikono ungevaa Sweta imekusaliti sijui Kama umewahi kushika jembe.
Samaki wote wamejificha wanaogopa rumande
Kwa hiyo huyo mwenye mtambi mkubwa ndio@Bujibuji ?
Huo mtambi ulinipatia mke mzunguKwa hiyo huyo mwenye mtambi mkubwa ndio@Bujibuji ?
UmewakomeshaKabisa yani
Ujiko... mimi kupendwa na nyieSimba Nyanaume kwa niaba ya wanawake wote vikongwe wa JF tunakupenda, Sawa!!? π