cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Haswaaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekuchaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekuchaaa
Huyu huwa ananitania sana ndo mana na yeye nilimkomalia. Pazia nzuri ila ni ukorofi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tumuache kelph bhana, pazia zake zuri. Tatizo rangi yaan
Unautaka uzee tu basi SHIKAMOO DADADaaaah yankiiii kabisaa, aseeeeh sasa muwage mnaamkia wakubwa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Majira yetu ayaaa yangekuwaje sasaaa!Chart na picha[emoji3578]View attachment 2180225
Hivi hii ni fukwe ya wapi mana sijaielewa yaan
Chart na pichaView attachment 2180235
Subir nafuta sasa hiviWewe futa hii comment pleas
Naamka hivi,najiendaa kuelekea masjidUmeona usijibu
Asante[emoji23]Subir nafuta sasa hivi
Nasubiri yamwisho niifute ila nishasave pic zako zote ulizotuma[emoji3059][emoji3059] nambie unaenda swali wapi Ijumaa nikupe mualiko wafuturisho.Asante[emoji23]
Utanipakata
Poa sana G, za kuamka??
Wala hata mie sio mpenzi wa mpira....mie npo kwene music tuSalama kabisa K’ bila shaka u mshabiki wa chelsea
Tabia mbaya[emoji54]Nasubiri yamwisho niifute ila nishasave pic zako zote ulizotuma[emoji3059][emoji3059] nambie unaenda swali wapi Ijumaa nikupe mualiko wafuturisho.
Siogopi,nitakaa nyuma kwenye mchangaHuogopi usugu wa mikono
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah weHuyu huwa ananitania sana ndo mana na yeye nilimkomalia. Pazia nzuri ila ni ukorofi tu[emoji23]
Sasa sikumbukumbu jamani simuoneshi member yoyote zaidi yamm[emoji3059][emoji3059] mualiko hutaki, unapenda Ndizi au muhogo au sambusa wapi pale uji wa msomali na juice ya kindereko [emoji38][emoji38].Tabia mbaya[emoji54]
Siogopi,nitakaa nyuma kwenye mchanga
Dada naomba uweke picha yako,kiukweli mm natamani sana kukufahamKwahiyo picha we ni wa tisini kamili.[emoji848]