Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimuita jina wala[emoji16]
Anaitwa bobihahahaha.sasa tatizo jina silijui.nikumbushe
shukran sana wameniachia tarehe 6.....Pole na ban, wamekuachia lini?
mmmh hili chimbo jipya, ngoja @ karucee aje asuuze macho
💛💚💛💚💛💚Duh haya
Weka picha basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dah.... kuna haja ya kuidai haki ya kusikilizwa kwa nguvu zote. Pia issue ya ban isiwe maamuzi ya mod mmoja.shukran sana wameniachia tarehe 6.....
bani zangu nyingi huwa zinaanzia ijumaa jioni, mara nyingi mida hiyo nakuwa mtungi.....
sasa kuna tunjemba huwa tunanikorofisha time hizo lazima nitutandike barabara......
nikiamka asubuhi nakutana na ban...
tatizo hawa mods hawatupi haki ya kusikilizwa kabla ya kutoa adhabu.....
hahahahaAnaitwa bobi
Hicho kifua kama nakijua🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Hakuna anaenijua bhn.View attachment 2178876
Nimetupia 3 hiviWeka picha basi
na warembo pia mpo
SijaonaNimetupia 3 hivi
Mnasemaga wanawake wa jf ni mapolygonna warembo pia mpo
Pekua pekua utaonaSijaona
hahahaha.dah mm simoMnasemaga wanawake wa jf ni mapolygon
Hizo chuchu au maziwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂Hakuna anaenijua bhn.View attachment 2178876
Daah mapema hii jmn[emoji23][emoji23]![]()
Umo usibishehahahaha.dah mm simo
hahahaha.hapana .sikumbuki km nimoUmo usibishe