Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 6,432
- 25,646
Ngoja nikuitiemmmh hili chimbo jipya, ngoja @ karucee aje asuuze macho
We Karucee ukuje huku unaitwa!!
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikuitiemmmh hili chimbo jipya, ngoja @ karucee aje asuuze macho
Tulia basi unataka kuwachorea watu ramaniMkuu hio sio mboka kweli hii?
Ndio mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Eeh mtoto paja bhana, [emoji39][emoji39][emoji39] sio unakutana na mwanamke anapaja limekauka kama upawa wa kupikia ubwabwa wa msiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa huo upara inaonekana siku ya kuumbwa kwako Mungu alikuwa na makasiriko.
atadata sana na hiyo colour ya buji buji ndio ugonjwa wake
Oooooh..polee..Mimi nina dharura, ndio maana nikataka radhi kwanza.
[emoji38]Bora uliondoka kwenye wembamba sana.
SawaNgoja niisake niweke, maana wengine kupiga picha ni mtihani.
Ooh Sawa Sawa kijanaMkuu pwani tunatafuta ugali tu..
Kaskazini ndio tunapotokea.
Kipindi niko kijana mdogo kabisa na mwembamba sana,
Nilikua nafanishwa sana.
Evelyn selfika mamiiatadata sana na hiyo colour ya buji buji ndio ugonjwa wake
Mkuu utendee haki uzi wetu
Ndy maana Mimi hanitaki kumbe anapenda dark mode?atadata sana na hiyo colour ya buji buji ndio ugonjwa wake
Mkuu umefufuka?
Mimi nilipost Jana.Angalia comment ya 294 utanionaMkuu utendee haki uzi wetu
Kama ni kweli!Wengine akina GENTAMYCINE wanatutukana humu kumbe Baba zao!!
Mtuheshimu basi mara moja moja[emoji16]
View attachment 2177632
Kama hauna rangi kama ile ya sabaya kaa tu pembeni 😁Ndy maana Mimi hanitaki kumbe anapenda dark mode?
Leo ndy nimeelewa Kwa nn
Cc Karucee
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app