Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

IMG-20220411-WA0004.jpg
 
Kheeeeeh "kijana wangu" hili neno unapenda sana, afu huwa unalitumia kwangu tyuuh. Mie silitaki.
Wee ita tyuuh kifupi, km hivi "nini sasa coca?" Mbna utaeleweka tyuuh.

Ndo maana tunatumia username humu. Sorry lakini ila ukweli silitaki hilo neno. [emoji23][emoji23][emoji23]
Okay,sawa coca umetoa ya moyoni.
Umeeleweka mkuu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa wee weka assumptions zako kichwani, uje ukutane na sicho ulichotarajia utajua hujui.

Naweka sio mda hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aaa wapii ni ngumu sanaa[emoji1][emoji23]wangonii hatuJawahi toaa product mbayaa kiasii hichoo cha ujtajuwa hujuii
 
Aaa wapii ni ngumu sanaa[emoji1][emoji23]wangonii hatuJawahi toaa product mbayaa kiasii hichoo cha ujtajuwa hujuii
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wangoni wafupi, weusi, wamepauka, haya hapo utasemaje sasa?
 
Back
Top Bottom