cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ngoja nkakutag ukajionee maajabu ya dunia dada. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha uchoyo We Mtoto...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nkakutag ukajionee maajabu ya dunia dada. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wacha uchoyo We Mtoto...
Mshana JrHuu uzi umekuja kupora hati miliki ya mwenye huu uzi chini...
Selfika na JF: Snap it. Show it
reymage nimeona umelike vocha yako bado ipo nipe location! Nakusubiri njoo saivi wiiNawe umefunga Pm mwee!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji23]nakuja inagoma aseehhh!!!ngoja nifunguewww.jamiiforums.com
Bas sawaaah,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Jiandae kuhama tu.
Kuna nini huko?[emoji28]Ngoja nkakutag ukajionee maajabu ya dunia dada. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeshakutag kuleee, kikubwa kuwa na moyoo, viginevyo utalia hadi machozi yakauke. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Kuna nini huko?[emoji28]
Dadako nimezeeka siku hizi[emoji28][emoji28][emoji28]
@Kiranga unaitwa huku ngosha.Nasubiri ya Kiranga. Akiweka nitag.
Tayari nishakutag huko. Nenda kaangalie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jiandae kuhama tu.
Sijapata notification yoyoteTayari nishakutag huko. Nenda kaangalie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee mwenzangu picha yako iko wapi?Asiyeelewa haeleweshwi, nikimuelewesha nitakuwa sielewi mimi
Tumuache alivyo[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimeshakutag kuleee, kikubwa kuwa na moyoo, viginevyo utalia hadi machozi yakauke. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]
Mzee mwenzangu sie tushazeeka picha hatupigia siku hizi.Mzee mwenzangu picha yako iko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] huko uzi utacheka ktk comments, ila post enyewe mmmmh unaweza usimalize km una roho ndogo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja nichek..Maana App. Notification ni kipengele...
Unachekesha Au?[emoji2]
Daaaah hapo tatzo sasa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Sijapata notification yoyote
Sasa si tushakubaliana picha hatupigi tena mzee mwenzangu[emoji1787][emoji1787]Mzee mwenzangu sie tushazeeka picha hatupigia siku hizi.
Yako iko wapi mzee mwenzangu?
Okey...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] huko uzi utacheka ktk comments, ila post enyewe mmmmh unaweza usimalize km una roho ndogo
Nitumie link ya huo uzi kule mwa Prime Minister.Daaaah hapo tatzo sasa lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Sasa ndio hapo nashangaa unaniuliza picha mzee mwenzangu, maana utaiona picha ya ujana nimepiga raizoni zangu swaafi, kumbe sasa hivi mdomo umejaa mapengo ubwabwa siwezi sema..Sasa si tushakubaliana picha hatupigi tena mzee mwenzangu[emoji1787][emoji1787]
@Makiwendo hivi kile kipaji chako cha uchoraji bado kipo?Sasa ndio hapo nashangaa unaniuliza picha mzee mwenzangu, maana utaiona picha ya ujana nimepiga raizoni zangu swaafi, kumbe sasa hivi mdomo umejaa mapengo ubwabwa siwezi sema..
Muombe hata mtu akuchore tu[emoji23]
Bado anacho, mwambie akuchore tu.@Makiwendo hivi kile kipaji chako cha uchoraji bado kipo?
Link hiyo wanatumaje?Nitumie link ya huo uzi kule mwa Prime Minister.