makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kama unatumia app bofya, vil vidubwasha vi3 juu pale kisha zitakuja option nyingi, ukitaka unaweza kushare, kucopy URL na kadhalika.Link hiyo wanatumaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unatumia app bofya, vil vidubwasha vi3 juu pale kisha zitakuja option nyingi, ukitaka unaweza kushare, kucopy URL na kadhalika.Link hiyo wanatumaje?
Ouk sawaah.Kama unatumia app bofya, vil vidubwasha vi3 juu pale kisha zitakuja option nyingi, ukitaka unaweza kushare, kucopy URL na kadhalika.
Inagoma bhana. Labda nitaje jina la uzi.Kama unatumia app bofya, vil vidubwasha vi3 juu pale kisha zitakuja option nyingi, ukitaka unaweza kushare, kucopy URL na kadhalika.
Wewe tu.Inagoma bhana. Labda nitaje jina la uzi.
Imekuwaje tena?@Kiranga unaitwa huku ngosha.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]@Makiwendo hivi kile kipaji chako cha uchoraji bado kipo?
Hao wote. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"Mambo usiyofahamu kuhusu ush.... ga"Wewe tu.
Ukishamchora, uje kunichora na mimi.. Sijui jinsi ya kupiga picha[emoji23][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kuchora nini mdogo wangu?
Doh!!! Ila wewe.[emoji28]Kama unatumia app bofya, vil vidubwasha vi3 juu pale kisha zitakuja option nyingi, ukitaka unaweza kushare, kucopy URL na kadhalika.
Hawezi kujitoa huyo[emoji2]
Aahh.. Hata kuutafuta siutafuti"Mambo usiyofahamu kuhusu ush.... ga"
Tafta huo uzi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukishamchora, uje kunichora na mimi.. Sijui jinsi ya kupiga picha[emoji23]
Msichana!!! [emoji1]Doh!!! Ila wewe.[emoji28]
Si amesema amekutag mahali ukasome? Nini kumchosha msichana wa watu hivyo?[emoji28]
Shida siwezi kupiga picha, mnanisaidiaje katika hilo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka picha hapa nipate pa kuanzia.
Ishia hapo hapo Makaveli....Msichana!!! [emoji1]
[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Unapatikana wapi nije kukupiga?Shida siwezi kupiga picha, mnanisaidiaje katika hilo.
Ngoja aje kwanza espy.
JF kama pilau, atajikaza masaa kadhaa tu, atalegeza uzi[emoji23]Hawezi kujitoa huyo[emoji2]
Anavyoipenda anaanzaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]JF kama pilau, atajikaza masaa kadhaa tu, atalegeza uzi[emoji23]