Tunaopitia hii changamoto tupeane ushauri

Tunaopitia hii changamoto tupeane ushauri

Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake!!! Namshukuru kwa mengi tu sio elimu tu pia kunizaa kunilea na mambo mengine mengi lakini haileti sababu ndio iwe fimbo ya kunichapia, namshukuru na bado naendelea kumshukuru na kumpenda

Nikiwa charts zetu hapa kila mtu atabaki akishangaa ni mama wa aina gani

Anyways

Nimepokea ushauri wote hopeful nitayafanyia kaZi kwa uwezo wa M/mungu

Polee sana dada kwa unayoyapitia. Ila una roho nzuri kweli kweli, naona umechukua kwa baba.
 
Fanya hivi kata mawasiliano nae hata mwezi msionane wala msiwasiliane. Binadamu tuna kitu flani hivi mtu unayempenda sana unamuonyesha kutomjali ila akishaondoka na ukamiss uwepo wake basi utajuta sana.
 
Back
Top Bottom