Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake!!! Namshukuru kwa mengi tu sio elimu tu pia kunizaa kunilea na mambo mengine mengi lakini haileti sababu ndio iwe fimbo ya kunichapia, namshukuru na bado naendelea kumshukuru na kumpenda
Nikiwa charts zetu hapa kila mtu atabaki akishangaa ni mama wa aina gani
Anyways
Nimepokea ushauri wote hopeful nitayafanyia kaZi kwa uwezo wa M/mungu