Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Cc: sossy magariMzee wa magari ya m2,3 yaliyojaa puti
leo mwaka mwingine E BadoNamba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Mimi mwenye namba C unanishauri vipi?Haelewi huyo!
Ngoja wazee wa Mlimani city waingie mchezoni mwa namba “E” ukipeleka gari hata iwe bado kinanda utaskia hii gari tatizo “D” number mkuu! Hii tukupe million 7 tu!
Yani hamna mtu atakuwa na interest na gari yenye namba “D” tena. Zitaporomoka bei vibaya mno hasa “D” za mwanzo zile! Bora hawa wa DZ wanaweza kuuza uza maana E ikishika kasi watu “D” watakuwa hawaitaki tena. Wateja wa magari bongo wako interested na number plate zaidi sio ubora wa gari!
Kwan mkuu wakati wa namba C hukuona namba kama T346CZS? Hapa inamaana ikiisha DYZ itaanza DZA hadi DZZ ndio mwisho wa herufi halafu tunaanza series ya E. Imagine ni magari mangapi hapo? Ndio maana natabiri DZ itaingia 2023Mkuu fata series ya herufi nimeishia Z hapo
Kwan mkuu wakati wa namba C hukuona namba kama T346CZS? Hapa inamaana ikiisha DYZ itaanza DZA hadi DZZ ndio mwisho wa herufi halafu tunaanza series ya E. Imagine ni magari mangapi hapo? Ndio maana natabiri DZ itaingia 2023
DZ ina magari 19,778.DY bado magari kama elfu 20 hivi hadi iishe na ushuru umekuwa mkubwa na russia kakiwakisha itachelewa. DZ yenyewe ina magari 23,400 hadi iishe ndo ije namba E. Dawa ni kununua namba binafsi weka jina lako then ikitoka E hamia.
Sawa kaka.Tutarudi kukumbusha this year E lazima iwe road
Unasema 899 alafu unasema 999 sijaelewaDZ ina magari 19,778.
Kila herufi mfano DZA ina magari 899 yani kutoka DZA ni gari 899 kuanzia 101 mpaka 999....
DZB ni 899
DZC ni 899
SO herufi zipo 22 kutoka DZA mpaka DZZ ukichukua 899 x 22 unapata 19,778.
Kwa mwezi hatutoboi magari 1000 sasa chukulia gari 19,778 hapa tuna miezi kama 12 na udogo....
EAA see you in 2023 march....
Mark this post...
Unless litokee limradi likubwaaaa contract anunue magari mengi sana...
Hivi bomba la mafuta lishaanza???
Kwaiyo hizo 10 zinaondolewa au? Hesabu umesomea wapiUmiza ubongo japo kidogo basi uelewe.. usitafuniwe kila kitu..
Kutoka namba ya kwanza DZA 101 mpaka DZA 999 kuna namba 899
KakaKwaiyo hizo 10 zinaondolewa au? Hesabu umesomea wapi
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Ok. Kumbe hazianzii 001 duh nilikuwa naivizia 007 mkuu.Kaka
Namba zinaanzia T101 DZA mpaka T 999 DZZ
Ukichukua 999-101 unapata 898 but 101 nayo ni inclusive so una plus 1 unapata 899.
So kuna namba 899 ukianzia DZA mpaka DZZ.
Mi natumia Hiace Namba A bro kibiashara,, ziko tatu zote na magepu zinapiga fresh tu AL*, AG*, AA*.Mzee wa magari ya m2,3 yaliyojaa puti
Yes hazianzii 001 zinaanzia 101...Ok. Kumbe hazianzii 001 duh nilikuwa naivizia 007 mkuu.
Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Wamezingua sana kwaiyo 001 hadi 009 ni private number. Walijua zitakuwa dili.Yes hazianzii 001 zinaanzia 101...
007 labda private number utakayolipia 10m nadhani for 3 years...
80% magari ya transit.Kuna meli inaitwa TRANQUIL ACE inaingia March 15. Hii ndio meli kubwa kuwahi kuja TZ. Mara ya kwanza ilikuja 2021 August ilishusha magari 3700+
Ngoja tuone
Hizi hesabu zako ni kichaa.DZ ina magari 19,778.
Kila herufi mfano DZA ina magari 899 yani kutoka DZA ni gari 899 kuanzia 101 mpaka 999....
DZB ni 899
DZC ni 899
SO herufi zipo 22 kutoka DZA mpaka DZZ ukichukua 899 x 22 unapata 19,778.
Kwa mwezi hatutoboi magari 1000 sasa chukulia gari 19,778 hapa tuna miezi kama 12 na udogo....
EAA see you in 2023 march....
Mark this post...
Unless litokee limradi likubwaaaa contract anunue magari mengi sana...
Hivi bomba la mafuta lishaanza???
Mwamba kateleza kdg...Hizi hesabu zako ni kichaa.
Yaani DZA-DZZ ichukue miezi 12!!
Nimesajili DXE September 2021 na sasa tupo DYR March 2022.
DXE yangu yenyewe ni ya mwanzo kabisa.