Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Nmewah ona migar ya zaman hapa bongo ina namba za mikoa, nafkir TRA wangeboresha tukatumia mfumo wa namba za mikoa ingekua poa sana
 
Nmewah ona migar ya zaman hapa bongo ina namba za mikoa, nafkir TRA wangeboresha tukatumia mfumo wa namba za mikoa ingekua poa sana
Wengine tunahama kila mwaka mkuu halafu mikoa nayo inaongezeka kila kukicha
 
Huu usajili ni gari za taasisi gan?
 

Attachments

  • IMG_0237.jpg
    928.3 KB · Views: 62
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…