Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 997
- 1,348
Duh! Usiseme hivyoEA ni mwakani no way out!
Utatembelea chassis mpaka ufikishe million kwa kuhonga trafikiDuh! Usiseme hivyo
Nimeiona kluger ya mchungaji mmoja imepata usajili wa DYZ Leo ,.Saivi DYX
DYZ ya ngapi?Nimeiona kluger ya mchungaji mmoja imepata usajili wa DYZ Leo ,.
ZinakimbiaView attachment 2173227
Mwamba umekubali kiaina wanosubiri EAA 2022 wabadili hayo mawazo wachukue usajili waachane na chasis numberEA ni mwakani no way out!
Hahahahah muongo wewe Mi last nimeona ni DYV😂😂😂Nimeiona kluger ya mchungaji mmoja imepata usajili wa DYZ Leo ,.
Nmewah ona migar ya zaman hapa bongo ina namba za mikoa, nafkir TRA wangeboresha tukatumia mfumo wa namba za mikoa ingekua poa sanaYani una hela zako unatembea kwa mguu kisa unasubiria namba EAA. Bongo hatari sana.
Ifike mda ghafla mfumo wa namba ubadilishwe kila gari isajiliwe upya kwa namba za mikoa kama South Africa au USA hadi wale wenye namba A wanapata namba mpya ndiyo mtajua hamjui kama ilivyokuwa kutoka kwenye TZA160 kuja T222AAA.
Bora aipakiUtatembelea chassis mpaka ufikishe million kwa kuhonga trafiki
Wengine tunahama kila mwaka mkuu halafu mikoa nayo inaongezeka kila kukichaNmewah ona migar ya zaman hapa bongo ina namba za mikoa, nafkir TRA wangeboresha tukatumia mfumo wa namba za mikoa ingekua poa sana
DYZ inawezekana sababu nimesajili DYW tar 25 MarchHahahahah muongo wewe Mi last nimeona ni DYV[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuhama sio issue, cha msingi gari isajiliwe namba ya Mkoa ambao mmiliki ndo anuani take iko kwa mda huo, akihama poa tu usajili unabak vile vile no worries, usajili wa kimikoa utasaidia namba kutojaa kwa harakaWengine tunahama kila mwaka mkuu halafu mikoa nayo inaongezeka kila kukicha
Huo usajili ni wa taasisi ya wajuba😅 wale wavaa kaunda nyeusiHuu usajili ni gari za taasisi gan?
Kama unamaanisha TISS, wao wanatumia magari yenye namba za kawaida za kiraia.Huo usajili ni wa taasisi ya wajuba😅 wale wavaa kaunda nyeusi