Tunaosubiri namba E tukutane hapa

mbona inakuja E na mambo bado hayako sawa.....

ila wababe wataziona D zimepitwa na wakati tutajishindia😄
 
DZA...899

DZB.....889

C hadi Z ukiondoa I na O unabakiwa herufi 22.

tutumie herufi B.

899*21=18,879


TRA wanasajiri wastani Wa 3000 kila mwezi.


bado miezi 7 kufika E,


itakuwa November huko, lakini uhalisia ni 2023 ndo E unaiona kitaa.
 
DZA...899

DZB.....889

C hadi Z ukiondoa I na O unabakiwa herufi 22.

tutumie herufi B.

899*21=18,879


TRA wanasajiri wastani Wa 3000 kila mwezi.


bado miezi 7 kufika E,


itakuwa November huko, lakini uhalisia ni 2023 ndo E unaiona kitaa.

Kwa wastani herufi moja kwenda nyingine ni miezi 4,
E Agust katikati
 
Naomba kuuliza. Hizi namba zamagari zinaanzia na namba ngapi. Maana sijawahi kuiona namba T 001DZA. Mara nyingi nazikuta Ni kuanzia T101 DZA. Je wanaanza kutoa namba 001 au zinaanzia 101,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…