mludego
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 2,597
- 3,565
T999DZZT999DXX
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
T999DZZT999DXX
Unajifanya siku mbili tatu unakua traffic tu mkuuHv kwa mfano mtu umeplan labda upate namba DZZ utajuaje ipo apo hili upate gari la namba hyo
Itafika tu kumbuka mitambo, matrela, malory, magari yote yanasajiliwa kwa hiyo namba na yanaingia kwa kasiKama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 21,600 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 68,400 Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo. (Edited )
Ukute kuna gari imesajiliwa T 666 DVL ..kama mtu ni wa imani kali yenye kupita na kitabu cha ufunuo hapandi hii gari .
Nimescreen shotKama DW ipo kwenye V, bado DWW , DWX, DWY, DWZ then
DXA mpaka DXZ,
DYA mpaka DYZ,
DZA mpaka DZZ.. Ndio ianza EAA..
Kila serie moja ina T100### mpaka T999### yaani jumla ya vehicles ( magari na matela) jumla vyombo sajiliwa kwa kila serie 900 , kiufupi ukichukua kuanzia
DWW mpaka DWZ ni gari 900x 4 = 3,600
DXA mpaka DXZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DYA mpaka DYZ ni gari 900 x 24 = 21,600
DZA mpaka DZZ nazo ni hivyo hivyo 21,600 jumla mpaka kufikia mwisho wa initial D ni jumla ya vyombo vya moto 68,400 Kwa hiyo kwa hisia na makisio yangu binafsi ( mtizamo wangu toka kamati ya machale na utabiri usio wa kitaalam) usajili EAA labda katikati kuelekea mwishoni mwa mwaka 2023 . Tuombe uzima huu uzi uendelee kuwepo. (Edited )
Ndefu sana. Hazitaenea kwenye plates.Ushauri wangu kwa mamlaka husika kama wamo humo ndani ya jukwaa
Wabadilishi mfumo wa PLAT NUMBER za magari ili ziwe zinaendana na mwaka wa gari lilipo tengenezwa (year of manufacture) hii itasaidia sn katika mambo mengi.
Mfano
Kama gari imetengenezwa 2003 au 2009
Waje na Code itakayo anza na mwaka kwa mfano gari zote zilizo tengenezwa kuanzia 2000 hadi 2009 wajena na CODE 2 au 5 inayo utambulisha mwaka husika Kwahiyo gari ya mwaka 2002 au 2009
Mwaka Plate Number
2001 TZ 21 DXX OR T 51 DXX
2002 TZ 22 TCH OR T 52 TCH
2009 TZ 29 CVF OR T 59 CVF
HAYA MAWAZO YANGU TU .
Ikiwa katikati haitaleta shida mbona?Nadhani sababu kubwa ni mfanano wake kwa 1 na 0, hivyo kuondoa errors wakati wa kuzisoma.
Nina namba B ila mpya kuliko D nyingiDuuh!.
Kwa hiyo namba E inakupunguzia kiasi cha matumizi ya mafuta? Au gari ndiyo itakuwa Classic?
Ninyi ndiyo wale mnashikishwa magari mabovu kwa sababu tu ya kununua namba badala ya gari.
Ninyi ndiyo wale ambao hamtaki kukubali kuwa uzee umefika, mnalazimisha kufanya mambo ya ujana ili kuendana na usasa. Utaangukia pua tu.
Bro, kuna gari namba B ni kali sana kuliko namba D.
Chukua mkoko, acha kusubiri namba.
Anyway, sikupangii matumizi ya fedha zako Mkuu.
Unavimba na DW 2005 Toyota Crown wakati watu wako humble na CZB walizochukua CMC zikiwa na 18km za delivery tu!DW ndo namba inayotamba mjini saiv on trending. Mtu akipita na ka DW kake anavimba sana
500,000/- tu unaipata.T 666 EEE
Ndo ninayoitaka.
Watu wengi huwa hawana taarifa,500,000/- tu unaipata.
Watu wengi huwa hawana taarifa,
Hajui kuwa hata sasahivi ana pata T 999 ZZZ kwa laki 5 tu.
Mkuu, hili jambo lipo toka mwaka jana, na ni permanent, hiyo unayosema wewe unalipa 5m kwa miaka mitatu, ilikuwa milion 10 miaka kama mi3 nyuma, lakini mwanzo ilikuwa mil 5.Kuna namna mpangilio wa irabu na nambari ...kwa hizo za serie ya T huwezi pata itakayokuwa kwenye sequence combination zijazo.. Ila unaweza pata mfano "T CHUMA 101 " au "NEWGAPI" au " GAP289" .
Wazee wa uchambuzi mko vizuri asee, ila hapo kwa Jiwe umeua!!Zimekaa mda mrefu sababu ni waliondoa plan ya pikipiki kuchanganyika na magari! Ndio maana zile B na C hazikudumu mda mrefu. Kwa kumbukumbu C zilianza 2010 bila shaka mpaka kufikia 2014 zikakata zikaanza D!
A zilimezwa na conversion ya magari kutoka TZS 99999 format kwenda T111AAA!
B zilimezwa na usajili wa pikipiki humo humo nazo hazikudumu sana!
C ndio zilikaa almost 4 years zikaisha sababu ya hela ya Jakaya ilikuwepo bado kwenye account na mizunguko ya Watu!
D zilipoanza na mzee Jiwe akawa ameingia mitamboni kuanza kutingisha hali zetu😅 na ndio nahisi atakuwa amekufa nazo mwaka huu maana January lazma tuanze na E!
Ikishaanza EED najiandaa kuinunua hiyo EEE.500,000/- tu unaipata.