HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hizo si edit, unalipa hela 500,000 unatunziwa Namba ya mbele.View attachment 2305305
[emoji23][emoji23] kuna sehemu nimeiona hii ila nilipoingia deep nikagundua ni edit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo si edit, unalipa hela 500,000 unatunziwa Namba ya mbele.View attachment 2305305
[emoji23][emoji23] kuna sehemu nimeiona hii ila nilipoingia deep nikagundua ni edit
leo nimeona DXX
Utunzaji tu bob.Hivi inakuaga ni nini haswa, unakuta namba B haijaoga rangi iko vizuri ukiwekewa na namba D hapo hauuwezi amini, hata D zenyewe unaweza kuta DV na DB ukiwekewa DV haitamaniki
Hata kenya wana huo ushamba.Kuangalia usajili wa plate namba za gari kisha kukadiria bei(thamani) ya gari sio sahihi na nikukosa uweledi wa kujua thamani halisi ya chombo. Sababu kuna watu wana gari zilizosajiliwa kwa B... zpo vizuri zaidi kuliko DVW.
Kipimo sahihi kujua thamani ya gari husika kwa ajili ya resale. Inatakiwa iwe;
1. Uchakavu wa gari husika (body, engine na interior)
2. Mwaka wa uzalishaji gari
3. Kama imeshawahi pata ajali (kama imepata ajili bei lazima iwe chini)
4. Umbali uliotembea (hapa unakuta crown imetembea 150,000KM na bado watu wanauziwa kwa bei sawa na iliyotembe umbali wa 50,000KM)[emoji31]
5. Record za service
UKIJUA THAMANI YA HELA YAKO HUTAKUBALI KUUZIWA GARI JUST BASED ON REGISTRATION PLATES.
Huyu jamaa banah, sasa umeshangaa nini wakati imeshapita tayari[emoji28]leo nimeona DXX
Hii Sio edit nikweliView attachment 2305305
[emoji23][emoji23] kuna sehemu nimeiona hii ila nilipoingia deep nikagundua ni edit
Kama namba C imesimama nachukua namba C hata B au A fresh tu.Hio ni kweli. Ila nikisema nikuuzie gari namba C iliokaza against number D ya gari hio hio hata kama sio nzuri utanunua ya C kweli?
Ilitakiwa gari ikiwa inatoka bandarini ipewe namba yake kabisa.Kuna hamaa yangu gari ipo bond toka mwezi wa tano anasubiri E
Mkuu mfano saivi nikitaka T 111 EAA naweza kuwekewa? Na gharama yake sh ngapi?Hizo si edit, unalipa hela 500,000 unatunziwa Namba ya mbele.
Hatujaifikia hio namba bado, ikumbukwe kuchonga kibao ni elfu 2O tuHii Sio edit nikweli
Haha haitawezekana!Ilitakiwa gari ikiwa inatoka bandarini ipewe namba yake kabisa.
Hakuna gari kutoka bandarini kabla haijapewa namba yake.
Laki 5 yote yanini wakati vibao hata ukitaka cha namba B unatoa upya kama chako kimechakaa elfu 2O tu kwa rasta anakufyatulia kipya. Sogea maeneo ya TRA ilipo wachonga namba hawakosekani. Hio ya jamaa mchezo aliofanya ndio huo huo, official numbers ziko DZV kwa sasa.Hizo si edit, unalipa hela 500,000 unatunziwa Namba ya mbele.
Nami nangoja majibuMkuu mfano saivi nikitaka T 111 EAA naweza kuwekewa? Na gharama yake sh ngapi?
Wadau wanataka wasafishe nyota kumiliki namba E, wengi gari ni investment sio kitu cha kubadili badili.😂😂😂Mnaosubiri namba E ina maana hamna uhakika wa kununua gari ingine baadae?!! E ipo miaka mingine 5-8 sasa kimuhemuhe cha nini? Nimetulia zangu na D mbili na C moja wala sina pressure. Katika series hizi mpya ni B tu ilinipita bila kununua gari nilikomaa na A mpaka C katikati.
Zingine zinaenda bond mkuu😂😂😂 hamna jinsiIlitakiwa gari ikiwa inatoka bandarini ipewe namba yake kabisa.
Hakuna gari kutoka bandarini kabla haijapewa namba yake.
Hahahah usajili ukianza wa E zitasogea haraka sana yani ndani ya mwezi tu watu wanaweza toboa "EAD"Wengi wanaisubiria E,EAA naona ndani siku kadhaa itakua ishapita na kijiji
Be Forward wamenipiga Elfu 40 dahHatujaifikia hio namba bado, ikumbukwe kuchonga kibao ni elfu 2O tu
Eeh mjini shule braza