Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Kuangalia usajili wa plate namba za gari kisha kukadiria bei(thamani) ya gari sio sahihi na nikukosa uweledi wa kujua thamani halisi ya chombo. Sababu kuna watu wana gari zilizosajiliwa kwa B... zpo vizuri zaidi kuliko DVW.

Kipimo sahihi kujua thamani ya gari husika kwa ajili ya resale. Inatakiwa iwe;

1. Uchakavu wa gari husika (body, engine na interior)

2. Mwaka wa uzalishaji gari

3. Kama imeshawahi pata ajali (kama imepata ajili bei lazima iwe chini)

4. Umbali uliotembea (hapa unakuta crown imetembea 150,000KM na bado watu wanauziwa kwa bei sawa na iliyotembe umbali wa 50,000KM)[emoji31]

5. Record za service

UKIJUA THAMANI YA HELA YAKO HUTAKUBALI KUUZIWA GARI JUST BASED ON REGISTRATION PLATES.
Hata kenya wana huo ushamba.

Mtu akiona namba DV anawehuka hata kama imeshachakazwa mitaani.
 
Ilitakiwa gari ikiwa inatoka bandarini ipewe namba yake kabisa.

Hakuna gari kutoka bandarini kabla haijapewa namba yake.
Haha haitawezekana!
Maana kuna option tatu za kutoa bandarini,
1. Full duty, hawa wenye vifua wanalipa kodi yote kabla gari haijatoka geti namba 2
2.Exemption hawa wanapata msamaha wa kodi
3. Bonded, hawa hawana hela ya kodi kuogopa storage gari inakwenda bond ili wajipange.

Kisheria huwezi kupata namba kama hujamaliza taratibu za kodi ,
 
Hizo si edit, unalipa hela 500,000 unatunziwa Namba ya mbele.
Laki 5 yote yanini wakati vibao hata ukitaka cha namba B unatoa upya kama chako kimechakaa elfu 2O tu kwa rasta anakufyatulia kipya. Sogea maeneo ya TRA ilipo wachonga namba hawakosekani. Hio ya jamaa mchezo aliofanya ndio huo huo, official numbers ziko DZV kwa sasa.

Hio unayosemea wewe ni special number. Kama zile za Jpm 2O2O.
 
Mnaosubiri namba E ina maana hamna uhakika wa kununua gari ingine baadae?!! E ipo miaka mingine 5-8 sasa kimuhemuhe cha nini? Nimetulia zangu na D mbili na C moja wala sina pressure. Katika series hizi mpya ni B tu ilinipita bila kununua gari nilikomaa na A mpaka C katikati.
Wadau wanataka wasafishe nyota kumiliki namba E, wengi gari ni investment sio kitu cha kubadili badili.😂😂😂
 
Back
Top Bottom