E inaingia mtaani kufikia tar 26 mwezi huu August!
Hapa Kazi ya fuvu la kichwa Ni kushikilia meno tu.ni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.
Kuna mtu kaniambia Kaiona EAA 168 Jana, LandCruiser ya 2010Mbali sana. Haizidi next 10 days
Chai hiyoKuna mtu kaniambia Kaiona EAA 168 Jana, LandCruiser ya 2010
Mtu mwingine anapewa kwa utaratibu gani? Anaingiza gari 'mpya' halafu anapwa/anaomba namba ya zamani?ni kawaida kabisa kukuta gari new model ina namba A na ikawa ya mtu binafsi kwa sababu ukiwa na gari yako hata ikiwa namba A kama imesha chakaa au umeuza kama chuma chakavu inatakiwa urudi TRA kufuta usajili na namba hiyo atapewa mtu mwingine.
Nakubaliana nawe namba E ziko mtaani ila sijui imekuaje maana Series iko DZX kufkia leoNumber E
Ipo mtaani kama siku 4 hivi nimeiona
Kama DZZ zipo, basi si ajabu EAA zikawepo pia, ni suala la mudaChai hiyo
Mmepigika tu. Msijifariji.Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Ya mti mti hioHaya Haya View attachment 2313777
Ila ukifuatilia kwa makini Gari mpya zenye Namba A, kwanza sio gari za 20 to 10M ni ndinga za pesa ya kwenda. Then hili suala la kusema unapewa... Mmmhhh!Mtu mwingine anapewa kwa utaratibu gani? Anaingiza gari 'mpya' halafu anapwa/anaomba namba ya zamani?
Naona X ishafika 45O+ ndio kwanza tarehe 5 leo. Jumatatu tunafungua na Y tunafunga na Z ijumaa ijayo.
September 1, EAA za kumwaga barabarani.Naona X ishafika 45O+ ndio kwanza tarehe 5 leo. Jumatatu tunafungua na Y tunafunga na Z ijumaa ijayo.
Kifupi tu kati ya tarehe 17-3O namba E itakuwa mtaani [emoji23][emoji23][emoji23]
ukimaanisha nini ? inamaana hujui kwamba namba huwa zinarudishwa TRA na wanapewa watu wengine?Hapa Kazi ya fuvu la kichwa Ni kushikilia meno tu.
Hakuna gari ulishawah I pewa namba ya gari nyingine iliyopata ajali au kua written off. Huo ni uongo. Sema unaweza ona v8 au mi cruiser ina namba za Zaman wale ni vitengo maalumu ila haiwezekani hata siku 1 mtu kupewa namba ya gari ya zamani. Kama una ushahidi weka. Ingekua tusingekua tumefika Dzx leo. Zingeanza kujazwa namba zote za pikipiki ambazo zilihamishiwa Plate namba hizo mpya za pikipiki. Had leo nadhani tu ngekua dj au bado hatujaifikiaukimaanisha nini ? inamaana hujui kwamba namba huwa zinarudishwa TRA na wanapewa watu wengine?
Kiukweeni Namba A kwa gari new Models nyingi huwa ni gari Kama Prado Tx, VX.R, GX.R na sasa kuna ZX.R L300 ya 2022 kama la Mabeyo ni A.Hakuna gari ulishawah I pewa namba ya gari nyingine iliyopata ajali au kua written off. Huo ni uongo. Sema unaweza ona v8 au mi cruiser ina namba za Zaman wale ni vitengo maalumu ila haiwezekani hata siku 1 mtu kupewa namba ya gari ya zamani. Kama una ushahidi weka. Ingekua tusingekua tumefika Dzx leo. Zingeanza kujazwa namba zote za pikipiki ambazo zilihamishiwa Plate namba hizo mpya za pikipiki. Had leo nadhani tu ngekua dj au bado hatujaifikia
Gari mpya namba za zamani zinajulikana za akina Nani. ILA sio za mtu binafsi eti kanunua gari mpya apewe namba ya zamani.Ila ukifuatilia kwa makini Gari mpya zenye Namba A, kwanza sio gari za 20 to 10M ni ndinga za pesa ya kwenda. Then hili suala la kusema unapewa... Mmmhhh!
Kwamba gari ilipata ajali nikauza kama skrepa then... blah blah wakupe Registration ya nyuma. Kwa Tanzania inawezekana ila Kwa Tanzania Haiwezekani
DZZ wewe umeziona ngapi tofauti na ile T777DZZ?Kama DZZ zipo, basi si ajabu EAA zikawepo pia, ni suala la muda